Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Ustadhi mmoja katika mkoa wa Singida amekutwa na vipeperushi zaidi ya 53 akivigawa kwa raia wanaoaminika ni wa kiislam ili kuwahamasisha kutojiandikisha katika zoezi la sensa ya watu na makazi mapaka vitu vifuatavyo vitakapowekwa katika dodoso hilo.
1. Kipengere cha dini
2. Uwiano wa mawakala kati ya wakristo na waislam
Source Clauds Fm habari
1. Kipengere cha dini
2. Uwiano wa mawakala kati ya wakristo na waislam
Source Clauds Fm habari