Wakala wa makampuni ya sports betting

Giannis Antetokounmpo

Senior Member
Joined
Jan 16, 2017
Posts
134
Reaction score
65
Wadau nlikua nafikiria kua wakala wa moja ya makampuni ya sports betting,, sema sasa makamouni yapo mengi mtu ambae yupo mzoefu na kampuni bora ya kubet ambayo ina incentives nzuri ansaidie kurecomend..​
 
naskia premier wako poa, kwenye mauzo ya 100000 we yako ni elfu 7000,


unawarushia 93000 we unabaki na elfu 7000,,

kwa hiyo mauzo yakienda laki 5 kwa siku we yako ni elfu 35000,

[emoji23]
 
naskia premier wako poa, kwenye mauzo ya 100000 we yako ni elfu 7000,


unawarushia 93000 we unabaki na elfu 7000,,

kwa hiyo mauzo yakienda laki 5 kwa siku we yako ni elfu 35000,

[emoji23]
Siku hz mkuu watu tunabet online hivyo kiukweli soko lao limeporomoka ndo maana hata biashara yao imekuwa slow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…