Wakala mkuu kwa 2m?Habari wana jf Mimi nimkazi wa Arusha,
Kama kichwa kinavyojieleza Mimi nimuuzaji mdogo wa gesi mpaka sasa Nina mwaka katika biashara hii, kutokana na uhitaji wa kukuza biashara nimepata mtaji wa million mbili nahitaji kua wakala mkuu yaani niwe nasupply kwa hawa wauzaji wa bei ya rejareja,
Kwa wajuzi naombeni muongozo na vigezo vyakua wakala mkuu,ikiwemo mtaji unaohitajika na bei wanayo badilishia mtungi
2m akija mteja mmoja tu kununua bidhaa zimeisha na wateja wengine watakosa bidhaaWakala mkuu kwa 2m?
Labda atauziwa kwa bei nzuri kuliko wale wa rejareja ila kwa mtaji huo kuwa wakala mkuu bado mtaji wake mdogo.Wakala mkuu kwa 2m?