Wakala wa Mpanzu acha kutumika, Kibu Dennis Simba imekulea acha hayo mambo

Wakala wa Mpanzu acha kutumika, Kibu Dennis Simba imekulea acha hayo mambo

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Huyu wakala aache kusumbua eti kufikia ijumaa saa 10 installment yapili iwe imefanyika, kwanini ijumaa? Nani kamwambia kuwa hatalipwa? Aache uswahili.

Na wewe rasta hutaki kwenda mazoezini kisa bonus uchwara, wanaokwenda wao hawana akili au tulikosea kukudhamini uraia? Hebu ukue basi.
 
Acha kujiamini hivyo na timu lako lililojaa veterans na ushindi wa gsm family....yani mnavyojishaua ni kama mko club bingwa robo fainali yanii...kumbe mlifurushwaa
🤣 🤣 🤣 🤣
Sio mbali, ni jmos, weka akiba ya maneno, usimalize yote !!!!!!!! Utakuja kulia lia hapa GSM anaharibu ligi,,,, ! Na nyie simba mtakuwa mmehongwa pia na huyo GSM ?
 
Haiwezekani wazingue wkt j.mosi wanakutana na mtani.
IMG_20250212_135837.jpg
 
Mawakala kama hawa ndio wa kuachana nao wakati timu ina tension na wao wao wanaongeza mzigo mwengine. Haya pambaneni nao hao
 
Mawakala kama hawa ndio wa kuachana nao wakati timu ina tension na wao wao wanaongeza mzigo mwengine. Haya pambaneni nao hao
Kwani hapo shida ni wakala au malipo ya mchezaji?

"Kweli ukitaka kuwa mbaya dai chako"
 
Huyu wakala aache kusumbua eti kufikia ijumaa saa 10 installment yapili iwe imefanyika, kwanini ijumaa? Nani kamwambia kuwa hatalipwa? Aache uswahili.

Na wewe rasta hutaki kwenda mazoezini kisa bonus uchwara, wanaokwenda wao hawana akili au tulikosea kukudhamini uraia? Hebu ukue basi.

Nyundo mbili za Ally Kamwe zimeshaanza kuwachanganya Utopolo
 
Back
Top Bottom