Sio mbali, ni jmos, weka akiba ya maneno, usimalize yote !!!!!!!! Utakuja kulia lia hapa GSM anaharibu ligi,,,, ! Na nyie simba mtakuwa mmehongwa pia na huyo GSM ?Acha kujiamini hivyo na timu lako lililojaa veterans na ushindi wa gsm family....yani mnavyojishaua ni kama mko club bingwa robo fainali yanii...kumbe mlifurushwaa
🤣 🤣 🤣 🤣
Jmamosi hatuwezi kuwafunga makolo..take this mwananchi mwenzanguSio mbali, ni jmos, weka akiba ya maneno, usimalize yote !!!!!!!! Utakuja kulia lia hapa GSM anaharibu ligi,,,, ! Na nyie simba mtakuwa mmehongwa pia na huyo GSM ?
Na msimu unaisha Jmosi, Hivyo ni lazima alipwe ijumaa?Kulipwa amelipwa 75% makubaliano ni kwamba 25% itamaliziwa kabla ya mwisho wa msimu.
Kwani hapo shida ni wakala au malipo ya mchezaji?Mawakala kama hawa ndio wa kuachana nao wakati timu ina tension na wao wao wanaongeza mzigo mwengine. Haya pambaneni nao hao
Kuna mvua itanyesha? Kwa jua hili Kolo anakufa mapema tu.Jmamosi hatuwezi kuwafunga makolo..take this mwananchi mwenzangu
Yeah, ndio maana kuna timu kila mwaka zinafungiwa kusajili kwa kudaiwa na wachezajiKwani hapo shida ni wakala au malipo ya mchezaji?
"Kweli ukitaka kuwa mbaya dai chako"
Huyu wakala aache kusumbua eti kufikia ijumaa saa 10 installment yapili iwe imefanyika, kwanini ijumaa? Nani kamwambia kuwa hatalipwa? Aache uswahili.
Na wewe rasta hutaki kwenda mazoezini kisa bonus uchwara, wanaokwenda wao hawana akili au tulikosea kukudhamini uraia? Hebu ukue basi.
Unaongea kama nani hapa? Wavuje jasho wengine?Kulipwa amelipwa 75% makubaliano ni kwamba 25% itamaliziwa kabla ya mwisho wa msimu.