Wakala wa Mtandao wa Serikali (EGA) ni wakati wenu kujipambanua

Wakala wa Mtandao wa Serikali (EGA) ni wakati wenu kujipambanua

f_m

Member
Joined
Sep 19, 2017
Posts
58
Reaction score
35
Ni wakati wenu EGA kuonesha uwepo wenu katika serikali ya JPM. Serikali iko kwenye mapambano dhidi ya COVID 19 inayopelekea mawasiliano kufanyika kwa njia ya mtandao. Nashauri muanzishe mawasiliano kwa kutumia group kama za whatapp ili kuwezesha vikao(onlinemeeting). Pia muanzishe app itakayowezesha mawasiliano kwa watumishi wa umma mahali popote na muda wowote.

Swali:
Je, mmejipngaje kuwezesha vikao serikalini kwa njia ya mtandao baada ya katazo la mkusanyiko kutokana na COVID19?

Serikali ya JPM inawategemea Kufanya kitu
 
Sijawahi kuona kitengo kisicho jua wajibu wao kama EGA. Ikiwezekana kifutwe.

Web portal karibia zote za serikali zipo incomplete.. na hapo wametumia mateplate tu.

Nadhani hii ega inaajiri watu walionsoma political science. f_m,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wakati wenu EGA kuonesha uwepo wenu katika serikali ya JPM. Serikali iko kwenye mapambano dhidi ya COVID 19 inayopelekea mawasiliano kufanyika kwa njia ya mtandao. Nashauri muanzishe mawasiliano kwa kutumia group kama za whatapp ili kuwezesha vikao(onlinemeeting). Pia muanzishe app itakayowezesha mawasiliano kwa watumishi wa umma mahali popote na muda wowote.

Swali:
Je, mmejipngaje kuwezesha vikao serikalini kwa njia ya mtandao baada ya katazo la mkusanyiko kutokana na COVID19?

Serikali ya JPM inawategemea Kufanya kitu
 
Ni wakati wenu EGA kuonesha uwepo wenu katika serikali ya JPM. Serikali iko kwenye mapambano dhidi ya COVID 19 inayopelekea mawasiliano kufanyika kwa njia ya mtandao. Nashauri muanzishe mawasiliano kwa kutumia group kama za whatapp ili kuwezesha vikao(onlinemeeting). Pia muanzishe app itakayowezesha mawasiliano kwa watumishi wa umma mahali popote na muda wowote.

Swali:
Je, mmejipngaje kuwezesha vikao serikalini kwa njia ya mtandao baada ya katazo la mkusanyiko kutokana na COVID19?

Serikali ya JPM inawategemea Kufanya kitu
Wasaidizi wako kazini na EGA ni kama backup

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom