Wakala wa pembejeo za kilimo

Shilala

Member
Joined
Apr 28, 2019
Posts
9
Reaction score
16
Natafuta Kampuni au taasisi inayozalisha o kusambaza pembejeo mbalimbali za kilimo ili niwe wakala wao wa bidhaa zao kwa mkoa wa Mbeya. Nina uzoefu wa kutosha wa kuendesha biashara huyo na nina maduka mawili makubwa.

Tuwasiliane pm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…