Wakala wa tiketi za mabasi

Wakala wa tiketi za mabasi

Alvin John

Member
Joined
Mar 27, 2018
Posts
56
Reaction score
25
Habari wakuu.. Samahanini jama, kwa wale wanaofahamu kiasi wanacholipwa wale jamaa ambao ni mawakala wa kukata tiketi za mabasi ya kwenda mikoani naomba anijulishe. Asanteni.
 
Habari wakuu.. Samahanini jama, kwa wale wanaofahamu kiasi wanacholipwa wale jamaa ambao ni mawakala wa kukata tiketi za mabasi ya kwenda mikoani naomba anijulishe. Asanteni.
Nnavojua anapataga hela kwa mteja wakala wa mabasi ni kama broker anaongea na mwenye basi nauli yake kamili ni sh ngapi alafu yeye anakula cha juu kutoka kwa wateja inagwa wateja wote nauli zitakuwa zinarofautianaga
 
Nnavojua anapataga hela kwa mteja wakala wa mabasi ni kama broker anaongea na mwenye basi nauli yake kamili ni sh ngapi alafu yeye anakula cha juu kutoka kwa wateja inagwa wateja wote nauli zitakuwa zinarofautianaga
Sawasawa.. Asante sana.
 
Back
Top Bottom