Alvin John
Member
- Mar 27, 2018
- 56
- 25
Habari wakuu.. Samahanini jama, kwa wale wanaofahamu kiasi wanacholipwa wale jamaa ambao ni mawakala wa kukata tiketi za mabasi ya kwenda mikoani naomba anijulishe. Asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nnavojua anapataga hela kwa mteja wakala wa mabasi ni kama broker anaongea na mwenye basi nauli yake kamili ni sh ngapi alafu yeye anakula cha juu kutoka kwa wateja inagwa wateja wote nauli zitakuwa zinarofautianagaHabari wakuu.. Samahanini jama, kwa wale wanaofahamu kiasi wanacholipwa wale jamaa ambao ni mawakala wa kukata tiketi za mabasi ya kwenda mikoani naomba anijulishe. Asanteni.
Sawasawa.. Asante sana.Nnavojua anapataga hela kwa mteja wakala wa mabasi ni kama broker anaongea na mwenye basi nauli yake kamili ni sh ngapi alafu yeye anakula cha juu kutoka kwa wateja inagwa wateja wote nauli zitakuwa zinarofautianaga
Okay bossSawasawa.. Asante sana.