TANZIA Wakala wa wachezaji, Mino Raiola afariki dunia

Mm ningemiliki robo tu ya mali zake ma-slay queen wote wangenikoma [emoji16][emoji16][emoji16]
Tema mate chini (kwenye udongo) na uangalie process ya kukauka kwake yanakuwa na mambo mengi kiasi ila yatakauka.
 
Dah Jamaa alibakisha miezi michache tu kupiga dili kubwa kuliko zote ambazo amewahi kupiga, Usajili wa Halland ungelimuingiza hela ndefu sana.
 
MKuu Raiola ni habari nyengine kabisa
Jorge mendes hajawahi kupata mpinzani labda kama umeanza kumsikia juzi , raiola alikuwa anafata nyayo za umafia wa mendes
 
Jorge mendes hajawahi kupata mpinzani labda kama umeanza kumsikia juzi , raiola alikuwa anafata nyayo za umafia wa mendes

acha masihara mkuu, Unamjua vizuri Raiola? Raiola kaanza kupiga hayo mapema zaidi kuliko mendez. Raiola ndie aliemuuza Denis Bergkamp kwa Inter Milan 1993. Alianza madili toka 1990 wakati huo Mendes akiuza nyama choma mitaani LIsbon
 
acha masihara mkuu, Unamjua vizuri Raiola? Raiola kaanza kupiga hayo mapema zaidi kuliko mendez. Raiola ndie aliemuuza Denis Bergkamp kwa Inter Milan 1993. Alianza madili toka 1990 wakati huo Mendes akiuza nyama choma mitaani LIsbon
Narudia tena Jorge mendes ndo super agent , raiola ameiga Kwa Jorge mendes kaulize popote pale
 
Narudia tena Jorge mendes ndo super agent , raiola ameiga Kwa Jorge mendes kaulize popote pale

Nikaulize wapi mkuu? mwaga madini tukuamini unachokisema. Raiola amefanya mengi sana. Mendez hana cha ziada zaidi ya kuwadalalia wachezaji wa kireno pamoja na wachezaji wanaotoka Porto na Benfica. Raiola alikuawa ni super power

RIP Mino Raiola: King of the super-agents | Goal.com
 
Nikaulize wapi mkuu? mwaga madini tukuamini unachokisema. Raiola amefanya mengi sana. Mendez hana cha ziada zaidi ya kuwadalalia wachezaji wa kireno pamoja na wachezaji wanaotoka Porto na Benfica. Raiola alikuawa ni super power
Umafia wa Jorge mendes inawezekana umeuelewa juzi baada ya raiola kuwadaka pogba na halaand , nimeamua nikupe overall badala ya kwenda source moja baada ya nyingine ,

















Jorge Mendes msikie tu alaf kaa kimya ,
 

Post yako imedhihirisha nilichokizungumza, Ni dalali wa kuwadalalia wachezaji wanaotoka Fc Port na Benfica.
 
Post yako imedhihirisha nilichokizungumza, Ni dalali wa kuwadalalia wachezaji wanaotoka Fc Port na Benfica.
Nipe source inayodhihirisha Mino raiola ndo number one most fluentila football agent alaf tufunge mjadala tusubiri ID Kesho
 
Nipe source inayodhihirisha Mino raiola ndo number one most fluentila football agent alaf tufunge mjadala tusubiri ID Kesho

Mkuu sasa google nayo ni source ya uhakika kwa maelezo? kama ni hivo nawewe pia Rejea link niliyoieka ambayo inamtaja Raiola kama ni King of Super Agents
 
Mkuu sasa google nayo ni source ya uhakika kwa maelezo? kama ni hivo nawewe pia Rejea link niliyoieka ambayo inamtaja Raiola kama ni King of Super Agents
Daah mkuu wengine watasaidia
 
Ukichunguza kwa undani utagundua jamaa alikuwa anauwezo wa kumfanya mchezaji awe kiburi au laah. Mfano
Paulo Pgba
Baloteli
Zlatan
Inaonekana jamaa alikuwa na nguvu sana kwenye soka
Viburi vya hao jamaa uliowataja, havijatokana na Mino. Hao ni viburi by nature. Mkhitaryan, Haland, De Lijt list ni ndefu ya wachezaji wake ambao sio viburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…