Wakali cha Chemsha Bongo tuna kikao hapa

Basi katika picha hii linaelekea upande wa "kushoto". Hii ni kwa sababu mlango wa kuingilia na kushuka abiria hauonekani kwenye upande wa kulia wa basi, kwa hiyo mlango uko upande mwingine ambao ni kushoto. Katika nchi nyingi za Afrika Mashariki kama Tanzania, magari yanaendeshwa upande wa kushoto, hivyo mlango wa basi kawaida unakuwa upande wa kulia wa basi, kwa hiyo kwa picha hii, basi linaelekea upande wa kushoto.
 
asante kwa kuchemsha ubongo


kazi kweli kweli/jobtruetrue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…