wakali wa Ds 101,development studies,fungua hapa utoe maoni,maana ni zaid ya ubishi


even socrete he was a great philosopher and plato's teacher but he believed in what he call socratic method that problem can be solved through disussion,and that is what i'm doing
 
Aliyekwambia jf ni wanafunzi nani?wewe unatafuta kukopi jibu swali hilo usitake tukupe majibu.

nawewe umeshaonekana umekoment,unajaza server.mitandao ya nje kama ask.com na yahoo answers watu wanapeana mitazamo ya kielimu au unataka nije na mada natafuta wakutoka nae ndo utoe mchango wako,kama swali hulijui kaa kimya kwani nch zingine wanavyotumia mitandao kudiscuss academic issues wao degree zao zipo chini?nakuuliza wewe!!baadh ya Wabongo mtu akitaka mtazamo wa ngono na arus ndo utakoment ila elimu unadis we ni mtu wa aina gani,@&%*0„6¢ã0„5
 

thanx bro i'll work on that
 
Oya mdau,kama uko vitongoji vya mabibo njoo block D,ground floor room number 118,ntakupa mapoints yetu tuliyodiscuss kwenye hlo swali.
 
huu ndo mtizamo wako kwenye swali,duh hongera

"Mkali wa DS101"? You must be kidding...! SOB...! Mimi nimsoma "DS" enzi za marehemu Harubu Othman na wakati huo kulikuwa hakuna JF wala Blogs za kujadili "wakali wa DS"...! Badala ya Kusoma vitabu mnakaa kwenye "Blogs" kutwa kucha" halafu mnajiita wakali wa DS????
 
Usjali ni pm ntakusaidia,nk masterz hapo ud tena kwa kuwa uko 1st yr utakua mtu mzuri sana kunitaftia mademu wakali wa undgraduate.
ina maana ukubwa wote bado domo zege unashindwa ongea na mademu wa first year
 
Oya mdau,kama uko vitongoji vya mabibo njoo block D,ground floor room number 118,ntakupa mapoints yetu tuliyodiscuss kwenye hlo swali.
duh hiyo room siwanaishi wale madada wajiuzao miili yao!
 
Unataka JF wakusaidie kujibu swali la darasani kwako?
 
poa,ila mtazamo wako ni upi wewe binafsi

kuna watu tulisoma ds basi tu kwa sababu ilikuwepo. Nilifanya kazi ya kukariri points tu test inapokaribi. Sie walituchanganyia na masomo mengine magumu tena ya muhimu ko hilo somo kwetu lilikuwa kama kero.
 

duuh kweli akili co umri kwahyo unataka hata wanafunzi wa cku hizi wasitumie calculator kisa wa zamani hawakutumia.Muda unabadilika usitake kufanya maisha yawe magumu u did yo time in your way let us do it in our way co kipinfi cha mkoloni hiki
 
watu wengine cjui vipi kwani kazi ya jukwaa la elimu ni nini?Kama hujui jibu kaa pembeni msikariri mtu akitaka kusoma lazima aende library.Mtu anaweza kushare idea mtandaoni mnakuwa wagumu wa kufata new ways za kusolve problems then mnajiita wasomi.
 
duuh kweli akili co umri kwahyo unataka hata wanafunzi wa cku hizi wasitumie calculator kisa wa zamani hawakutumia.Muda unabadilika usitake kufanya maisha yawe magumu u did yo time in your way let us do it in our way co kipinfi cha mkoloni hiki

Akili ya ki-"Facebook"...! Hata uhandishi unaonyesha kuwa wewe ni "mkali wa DS"...! Endelea kutafuta "new ideas" kwenye blogs na baada ya kumaliza "chuo kikuu" tutakutana "mtaani"...! SoB
 

Prof Ngware bado yupo. Jana niliona gari lake Manzese nikataka kupiga simu polisi kuwa limeibiwa lakini nikafikiria kuwa labda alishaliuza
 
Akili ya ki-"Facebook"...! Hata uhandishi unaonyesha kuwa wewe ni "mkali wa DS"...! Endelea kutafuta "new ideas" kwenye blogs na baada ya kumaliza "chuo kikuu" tutakutana "mtaani"...! SoB

ndio ulichokiona tu teh teh kamlee enock
 
watu wengine cjui vipi kwani kazi ya jukwaa la elimu ni nini?Kama hujui jibu kaa pembeni msikariri mtu akitaka kusoma lazima aende library.Mtu anaweza kushare idea mtandaoni mnakuwa wagumu wa kufata new ways za kusolve problems then mnajiita wasomi.

me mwenyewe nashangaa, mtu kauliza kitu, kama hujui si lazima ku comment. Hili ni jukwaa la elimu sasa kama mada kama hizi mnadiss sijui mnataka mada gani, au zile za 'Chuo kipi bora kipi bomu'?. Rekebikeni bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…