Wakali wa movies

Wakali wa movies

Drc congo

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2019
Posts
636
Reaction score
2,896
Hii thread ni kwa wale wapenzi wote wa filamu hapa tutakuwa tunajadiliana kuhusiana na filamu tulizoziona ili wengi wazitafute
raging phoenixa Ong Back Zero.jpg
Vengeance Of An Assassin.jpg
 
Saw 1-6, mirror, final destination, big tits zombie,silence of the lambs, daybreak,showdown in little tokyo.
 
Maskini msichana Alina, mwili wake ulitumikishwa vibaya sana kingono...

Bahati mbaya hakuwa na wa kumsimulia anayopitia, kwa sababu wahusika walikuwa na nguvu kwenye kila idara..

Kuanzia kifedha, kisilaha, hadi kimakundi, ni Russian Mafian Mobb, wauza madawa, na human trafficking...

Alina alilala na wanaume kama walivyotaka wao, na pesa alipewa ya kubadilishia nguo tu, zote wakaziweka kwenye mifuko yao..

Kwao Alina ni bidhaa kama bidhaa zingine, anaenda sokoni, ananunuliwa, faida ni ya kwao..

Hadi alipokutana na Robert McCall,wakaunda urafiki, akawa sehemu ya faraja yake kwa mchana..

Ikafika siku ambayo Robert McCall alipoambiwa Alina yupo hoi hospitali, kwa sababu ya kupigwa kama mwizi..

Akafunga safari hadi kwa wamiliki wa msichana Alina, akataka kuijua thamani yake, ili amnunue awe huru..

Kwake tukio la kumpiga Alina, lilimgusa kama Baba, au mwanaume yoyote anaejali kuhusu mwanamke..

Walikataa, walimcheka, na mwisho wakataka wafanye vyote viwili, wachukue pesa, na wasimuachie huru msichana Alina..

Na hapo ndipo walipokosea, wao ni Mafia ndio, na ni watu wanaoogopeka, lakini huyu Robert McCall ni nani?..

Ni former Marine and retired DIA officer, binadamu anaejua akipiga wapi anaua, na wapi akigusa, utamtaja mzazi wako..

Wao walijua wamesimama mbele ya mtu mchovu, mpole, asiejiweza hata kidogo..

Lakini hii ilikuwa ndio siku yao ya mwisho kuliona jua la alfajiri, huyu Robert McCall ni Denzel Washington tunaemjua..

Akawawekea stop watch, akawaambia ndani ya sekunde 16, kila mtu atajuta alichochagua, sekunde 16 tu..
 

Attachments

  • FB_IMG_17211618410059743.jpg
    FB_IMG_17211618410059743.jpg
    556 KB · Views: 6
Maskini msichana Alina, mwili wake ulitumikishwa vibaya sana kingono...

Bahati mbaya hakuwa na wa kumsimulia anayopitia, kwa sababu wahusika walikuwa na nguvu kwenye kila idara..

Kuanzia kifedha, kisilaha, hadi kimakundi, ni Russian Mafian Mobb, wauza madawa, na human trafficking...

Alina alilala na wanaume kama walivyotaka wao, na pesa alipewa ya kubadilishia nguo tu, zote wakaziweka kwenye mifuko yao..

Kwao Alina ni bidhaa kama bidhaa zingine, anaenda sokoni, ananunuliwa, faida ni ya kwao..

Hadi alipokutana na Robert McCall,wakaunda urafiki, akawa sehemu ya faraja yake kwa mchana..

Ikafika siku ambayo Robert McCall alipoambiwa Alina yupo hoi hospitali, kwa sababu ya kupigwa kama mwizi..

Akafunga safari hadi kwa wamiliki wa msichana Alina, akataka kuijua thamani yake, ili amnunue awe huru..

Kwake tukio la kumpiga Alina, lilimgusa kama Baba, au mwanaume yoyote anaejali kuhusu mwanamke..

Walikataa, walimcheka, na mwisho wakataka wafanye vyote viwili, wachukue pesa, na wasimuachie huru msichana Alina..

Na hapo ndipo walipokosea, wao ni Mafia ndio, na ni watu wanaoogopeka, lakini huyu Robert McCall ni nani?..

Ni former Marine and retired DIA officer, binadamu anaejua akipiga wapi anaua, na wapi akigusa, utamtaja mzazi wako..

Wao walijua wamesimama mbele ya mtu mchovu, mpole, asiejiweza hata kidogo..

Lakini hii ilikuwa ndio siku yao ya mwisho kuliona jua la alfajiri, huyu Robert McCall ni Denzel Washington tunaemjua..

Akawawekea stop watch, akawaambia ndani ya sekunde 16, kila mtu atajuta alichochagua, sekunde 16 tu..
In short equalizer zote ni kali yaani 1-3

Lakini pia book of Eli ya Denzel Washington nayo haichuji
 
Back
Top Bottom