Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Hadhira mshatuaminisha kuwa Edoh David Utop anaibiwa Simba Sc na kwenda Yanga Sc
Mshatuaminisha Chama anakuja Simba Sc
Mmetuambia Moses Phiri anakuja Simba Sc
Sawa
Nawajuza Hao akina Shafii Dauda, Jemedari na Watabiri Wenzao kwamba bado SIKU 4 TU USAJILI WA DIRISHA DOGO KUFUNGWA
Na Uongozi wa Ligi umesema HAKUNA KUONGEZA MUDA WA USAJILI
Tunasubiri waje na uhamisho na Utambulisho
Tunakumbushana tu maana mshakula Bundles zetu za kutosha
Eboh[emoji51]
Mtalipa bando letu nawaambiwa nyie Agenda settings wa kikariakoo mnaunajisi mpira kwa ushawishi wenu na kutojali hisia za hadhira kwa expenses za umaarufu bila kujali kesho ya Soka .
Hamjali ku promote vilabu vya Tz ,Soka la Tz, Uzao wa soka la Tz kupitia wazawa hamjali hata biashara bora ya Soka la taifa kisa trendings za habari zisizodumu masaa 24 .
Moses Phiri
Clatous Chama
Udoh Etop
wasiposajiliwa Nitahakikisha Jamii inajua hii nchi Haiamini ina watu wa Habari za Usajili na tetesi za Uhakika bali porojo na Agenda settings na kuitumia faida ya Social network vibaya kwa maslahi binafsi na sio ya weledi wala vilabu wala wachezaji husika
Ifikie Mahala Jamii ile Chakula bora cha Habari kwa ubunifu wenye manufaa
HADHIRA TUNASUBIRI SIKU 4 WAJE CHAMA , PHIRI , MSUVA NA UDOH WASAJILIWE NDIO TUTAWAELEWA
La Sivyo tutaanza kuamini Platforms rasmi za Taasisi na Vilabu maana Porojo sio za watu wenye Akili timamu hata uwe na Ushawishi kiasi gani.
Hatuwezi kupelekeshwa na Bando zetu
Ulaya kuna Madaraja ma 4 ya tetesi
Kuna waandishi wa tetesi wa daraja la kwanza na sio Followers wao ndio kigezo bali legitimacy ya habari zao akina Bellegue na Romano. Kuna 2nd tier akina Di mazio
Kuna 3rd tier na forth tier
Kuaminika na usahihi wao ndio daraja lilipoundwa
Huku mnaaminishwa na porojo za uongo na mnakubali hii si sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshatuaminisha Chama anakuja Simba Sc
Mmetuambia Moses Phiri anakuja Simba Sc
Sawa
Nawajuza Hao akina Shafii Dauda, Jemedari na Watabiri Wenzao kwamba bado SIKU 4 TU USAJILI WA DIRISHA DOGO KUFUNGWA
Na Uongozi wa Ligi umesema HAKUNA KUONGEZA MUDA WA USAJILI
Tunasubiri waje na uhamisho na Utambulisho
Tunakumbushana tu maana mshakula Bundles zetu za kutosha
Eboh[emoji51]
Mtalipa bando letu nawaambiwa nyie Agenda settings wa kikariakoo mnaunajisi mpira kwa ushawishi wenu na kutojali hisia za hadhira kwa expenses za umaarufu bila kujali kesho ya Soka .
Hamjali ku promote vilabu vya Tz ,Soka la Tz, Uzao wa soka la Tz kupitia wazawa hamjali hata biashara bora ya Soka la taifa kisa trendings za habari zisizodumu masaa 24 .
Moses Phiri
Clatous Chama
Udoh Etop
wasiposajiliwa Nitahakikisha Jamii inajua hii nchi Haiamini ina watu wa Habari za Usajili na tetesi za Uhakika bali porojo na Agenda settings na kuitumia faida ya Social network vibaya kwa maslahi binafsi na sio ya weledi wala vilabu wala wachezaji husika
Ifikie Mahala Jamii ile Chakula bora cha Habari kwa ubunifu wenye manufaa
HADHIRA TUNASUBIRI SIKU 4 WAJE CHAMA , PHIRI , MSUVA NA UDOH WASAJILIWE NDIO TUTAWAELEWA
La Sivyo tutaanza kuamini Platforms rasmi za Taasisi na Vilabu maana Porojo sio za watu wenye Akili timamu hata uwe na Ushawishi kiasi gani.
Hatuwezi kupelekeshwa na Bando zetu
Ulaya kuna Madaraja ma 4 ya tetesi
Kuna waandishi wa tetesi wa daraja la kwanza na sio Followers wao ndio kigezo bali legitimacy ya habari zao akina Bellegue na Romano. Kuna 2nd tier akina Di mazio
Kuna 3rd tier na forth tier
Kuaminika na usahihi wao ndio daraja lilipoundwa
Huku mnaaminishwa na porojo za uongo na mnakubali hii si sawa
Sent using Jamii Forums mobile app