Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui ni wakali wa nini? Maana hata Mimi siwafahamu na nina mwaka wa saba humu majukwaani!!!Wakali wa nini mzee?
[emoji818][emoji818]1.Mod one
2.Mod two
3.Mod three
Au mods mnasemaje?
Ana uzi wake ingia political palace utaukuta...,Unatembea kwa kasi ya sgrMbona huyu Rutashubanyuma sijawahi kuiona comment yake humu majukwaani halaf yey ndo et yupo juu
Ana uzi wake ambao kwa wastani kila baada ya nusu saa anacomment mwenyewe,hivyo kwa siku anacomment mara 48 ambapo ni wastani wa comments 1440 kwa mwezi na comment zisizopungua 17280 kwa mwaka katika uzi mmoja ambao huwa anatupia chochote kile ili mradi awe ana update uzi wake hata kama anachotupia hakihusiana na kichwa cha habari cha uzi wake.Mbona huyu Rutashubanyuma sijawahi kuiona comment yake humu majukwaani halaf yey ndo et yupo juu
Ana uzi wake ambao kwa wastani kila baada ya nusu saa anacomment mwenyewe,hivyo kwa siku anacomment mara 48 ambapo ni wastani wa comments 1440 kwa mwezi na comment zisizopungua 17280 kwa mwaka katika uzi mmoja ambao huwa anatupia chochote kile ili mradi awe ana update uzi wake hata kama anachotupia hakihusiana na kichwa cha habari cha uzi wake.
Hivyo usishangae kiongozi kumuona at the top of the list.
Duh, nmeuona huo uzi.Ana uzi wake ingia political palace utaukuta...,Unatembea kwa kasi ya sgr
Hata kwingine yupo sema mara moja moja sanaDuh, nmeuona huo uzi.
Mshana Jr ni the best coz JF yupo.. Huy Rutashubanyuma yupo sehemu moja tu (kwenye huo uzi wake) kona zingine hazijui.
So Mshana is the best.
#MapachaDaima