Wakamatwa wakifanya mapenzi kwenye kitanda cha jirani

Wakamatwa wakifanya mapenzi kwenye kitanda cha jirani

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Kutoka Uganda Polisi nchini humo wanamshikilia Mwanaume (23) na Mpenzi wake (35) kwa kosa la kuingia nyumba ya Jirani wakiwa wanatoka Baa usiku kisha kufanya mapenzi kwenye kitanda cha Jirani huyo Margaret Awino ambaye aliwakuta wakiwa watupu.

Kamanda wa Polisi Wilaya ya Apac, Rogers Kafere amethibitisha kushikiliwa kwa Wapenzi hao ambapo amesema kwa mujibu wa sheria za Uganda kama Mtu akiingia na Mpenzi wake kwenye nyumba isiyo yake bila rukhsa ya Mwenye nyumba hiyo ni kosa kisheria na atahukumiwa kwenda jela, limeripoti gazeti la Daily Monitor.
 
Hii kesi immekaa kimasiala zaidi ya kuchekesha na si ya mtu kufanya kosa.

sasa wanasheria mtusaidie ni kifungu kipi cha sheria kinachosema kufanya mapenzi ktk kitanda cha mtu japo bila ridhaa yake kuwa ni kosa???.

Hakimu awaachie huru hawa wapenzi wakaendelee na love zao huko mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom