Mi wa kwangu hata nywele namsuka mwenyewe!Mi mke wangu namkata kucha mwenyewe! Period
hii nimeipenda mkuu!.Mi wa kwangu hata nywele namsuka mwenyewe!
Hehehe! Hakuna atakayempimisha nguo mke wangu! Nampima mwenyewe na nashona mwenyewe!hii nimeipenda mkuu!.
na NGUO unamshonea mwenyewe??
Nitaua kiumbe yoyote atakae temper na kucha za dada ake x-pin
Nikimkamata wangu anampa mguu mkata kucha..... du itabidi nidumishe mile.
hilo linaenda sambamba na wapaka rangi...halafu wapaka rangi wengi wana vibiongo kisha wanatembea wakirusha mikono kama mademu nasikia wameshaharibikiwa
by the time nguli unadumisha mila mimi nitakuwa na a HUUUUUGE CLUSTER OF LADIIEEZ!i mean nitakuwa CHIEF WA MILA ZETU ZA JADINikimkamata wangu anampa mguu mkata kucha..... du itabidi nidumishe mile.
kila fani si ina wataaalm jamani??? hata kutengeneza kucha tunapenda kwenda kwa wataalam ili tupate kilicho bora!!!!!!Hao wa mama na wadada ni uvivu hakuna lolote
kila fani si ina wataaalm jamani??? hata kutengeneza kucha tunapenda kwenda kwa wataalam ili tupate kilicho bora!!!!!!
Ila wanaboa jamani tuache utani....tabia zao ni zaidi ya zile za kiumbeambea duh!!! irritating!!!!
kila fani si ina wataaalm jamani??? hata kutengeneza kucha tunapenda kwenda kwa wataalam ili tupate kilicho bora!!!!!!
Ila wanaboa jamani tuache utani....tabia zao ni zaidi ya zile za kiumbeambea duh!!! irritating!!!!
Mi wa kwangu hata nywele namsuka mwenyewe!
Hakuna tabia nyingine walioko nayo tena zaidi ya hio????
Hivi usafi na afya huwa vinazingatiwa kweli, kukata kata kucha bila ku-sterilize hivyo vifaa hivi si watatumaliza?
Utamuuaje mkata kucha wakati yeye ndio kazi yake na dadako ndiye kampelekea kucha zake azikatee????. Dawa ni wewe kumzuia dada ake x-pin kwenda kwa mkata kucha.Nitaua kiumbe yoyote atakae temper na kucha za dada ake x-pin