Wakata KUCHA wake za WATU za miguuni

Haka ni ka aina kapya ka massage!!Yaani hivi vijamaa vimebuni njia tamu kweli ya kujibudurisha,mguu mmoja utakuta unashughulikiwa masaa matatu,utadhani msusi wa sangita!!Alafu mbona sioni akina dada wakifanya shughuli hii,au ndio hata wakijifunza hawatojua?
 

Ha ha ha ha
da! happy new year bro.
 


kumbe wadau tulio concerned tupo wengi!
 
hao wapenda kukatwa kucha za miguuni wakati wametinga viguo vifupi wakiinua mapaja yao juu ya mabega ya hao wakata kucha ni malaya wanataka kuwashawishi hao vijana wawape majamboz,waogopeni kama ukoma.kama wameolewa nashauri waume zao watembeze mkong'oto wa kufa mtu kwa hao wake zao wasiopenda kujiheshimu.
 
asee,
siku moja nilikua uswazi nangojea midamida ifike niende kwa shemeji/wifi yenu, nikawa nimeminya baa flani uswazi buguruni, kuna elizazzzz mmoja kajazia balaa halafu waitiiiiiii paja paja kavaa sketi fupi anapakwa rangi.
nilihisi yule jamaa kweli kalala doro!, maana ningekua mimi ile kazi ingenishinda.
hawa jamaa tuwaonee huruma WANAFANYA KAZI YAO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU SANA ya vishawishi.
 
Watu wako kazini,

Kama kuna wa kulaumiwa walaumuni wake na mademu zenu.
 


raha ya kucha ukwatwe babu
we kama mnakatana polen
 
Mama Mia mahubiri yako leo mazuri saana. Maana ukichanganya na zile post zako ohpss basi ni contradiction tupu
 
Kuna wakati linaweza tokea ombi la kipumbavu;mkata kucha anaambiwa hivi "Hivi kaka hiki kipele hapa tumboni kinatolewaje?"

Kazi tunayo!
 
Mimi nawaonea huruma hao wakata kucha....
Maana wanajipakapaka shombo,kula hawali....
Wanaishia kunawa,sanasana wanawatia nyege hao
wanawake,basi wanawake hao wakitoka hapo wanaenda
kwa mabwana zao.
 
Kuna ka msemo ka kiswahili kanasema "utaishia kuona kama kopo la ******". Ndo yanayowapata hao wakata kucha.
 
vijana wameamua kujituma badala ya kuwa vibaka.

sidhani kama wengi wao wanamawazo ya "kuwashughulikia"
wateja wao. sana sana wanapiga chabo tuu.

hata hivyo naamini ikijitokeza "ridhiki kitako"
hakika watajiokotea na kurudi wakichekelea.lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…