Naona hao wote kheri kuliko fundi nguo mara apime sehemu ya matiti mara makalio yaani taabu tupu.Ni mwendo wa kununua special tuu dukani kama ndo ivyo.
Though hatuwezi wakwepa madokta wazalishaji
Welcome back, HAPPY NEW YEAR, za zenji?Asante sana sisi tutaendela kuwasaidia kuwakatia kucha na kuwapima nguo! Mzenj usisome hapa
heri ya mwaka mpya masanilo!!!Asante sana sisi tutaendela kuwasaidia kuwakatia kucha na kuwapima nguo! Mzenj usisome hapa
Nimeona jinsi mmojawapo hapa anavyokumbatia mama mguu mmoja huku anakwaruza na kupuliza unyayo mpaka huyu mama anasinzia na amevaa kimini na ni mweupee pee sasa huyu kijana ananyanyua mguu mpaka begani kwake huku akiwa amekaa chini na huyu mama amekaa kwenye kiti. Na anaoneka ni mtu wa makamo ya kati.
.
..Wanawatekenya kwenye nyao zao pale wanapowasugua kucha na kupaka rangi. Niliwahi kushuhudia dogo mmoja pale mwenge anakandamizwa mangumi na jamaa mwenye demu wake alipoona dogo anakanda miguu ya mamaa mpaka mdada anasinzia jamaa alichomoka kwenye gari ilikuwa tabu kidogo, nahisi alimpiga marufuku kwenda pale tena!Hakuna tabia nyingine walioko nayo tena zaidi ya hio????
Kuna tabia ya vijana imeanza siku hizi kwa kujiajiri kukata kucha za miguu za wake wa watu na wasichana wavivu kweli inanipa wasix2.
Nimeona jinsi mmojawapo hapa anavyokumbatia mama mguu mmoja huku anakwaruza na kupuliza unyayo mpaka huyu mama anasinzia na amevaa kimini na ni mweupee pee sasa huyu kijana ananyanyua mguu mpaka begani kwake huku akiwa amekaa chini na huyu mama amekaa kwenye kiti. Na anaoneka ni mtu wa makamo ya kati.
Sidhani kama ni sahihi. labda wenzangu mnifumbue macho labda mimi mshamba.
...mmeumaliza mwaka kwa wivu, mwaka mpya itakuwaje?...
Ni kweli, comment nyingi zimekaa kiwivuwivu.
Saluni za kinababa wasichana wale wanavaa vibaya kimtego mtego, halafu wanafanya masaji ya kichwa, wanaweka kichwa katikati ya mlima wa matiti ambayo yako nusu wazi, wanakupulizia sikioni, etc etc. Kuna njemba moja nilishuhudia ikishindwa kusimama baada ya masaji hiyo, alikua kama kapigwa shoti!