St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Hata hawana aibu kutujia na mahelikopta yao wakati sisi hata maji safi ya kunywa tu shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo magumu sana haya Mkuu,
Angalia Kikwete hadi kakonda. SURUALI inaanguka na inabidi aipandishe kuokoa Mtepesho.
![]()
hii nayo ni ile ya Barrick?
Singida mkoa masikini kuliko yote tz halafu mbunge wao anawakejeli kwa helicopter! What a shame!