Wakata wao wanapokuja kutuomba kura.........!!!!!!!!!

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
Hata hawana aibu kutujia na mahelikopta yao wakati sisi hata maji safi ya kunywa tu shida.
 
hao ndo mafisadi waliofirisi nchii hii. Mungu awalaani wote na wasipate kura za Watanzania kesho
 
Mambo magumu sana haya Mkuu,

Angalia Kikwete hadi kakonda. SURUALI inaanguka na inabidi aipandishe kuokoa Mtepesho.

 
Mambo magumu sana haya Mkuu,

Angalia Kikwete hadi kakonda. SURUALI inaanguka na inabidi aipandishe kuokoa Mtepesho.



Tunao tu mkuu mpaka kieleweke na watazishika sana suruali zao mwaka huu.
 
Akija wa hivyo kwetu tunampiga mawe hata aibu hana.!!!!
 
Mawe ya nini, tunammwagia maji ya kuwasha kama yale wanayowamwagiaga wastaaf wanaodai haki zao!!!!!!!!!!!!????????
 
Singida mkoa masikini kuliko yote tz halafu mbunge wao anawakejeli kwa helicopter! What a shame!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…