DodomaTZ
Member
- May 20, 2022
- 84
- 118
Kwanza nawapa pole wote walioathirika na ajali ya ndege na Precision Air kule Bukoba, pia napongeza walichofanya wale wavuvi katika uokoaji .
Lakini moja ya kitu ambacho kimenishangaza ni jinsi viongozi wa kisiasa walivyoikomalia suala hili katika sura nyingine ya bima.
Naelewa ajali za ndege ni nadra lakini hiyo haimaanishi mamlaka zitoe kipaumbele kwenye bima za ndege na kusahau zile za magari tena ambazo zinaua watu wengi kila siku.
Serikali na mamlaka za bima ziwe fair, nashauri elimu itolewe kwa wingi kuhusu bima za magari kwa kuwa wengi ambao wana uelewa hiyo kitu ni madereva na wamiliki wa vyombo.
Kitu kifanyike, abiria wengi wanakufa, wanaumia, wanapata ulemavu na athari nyingine nyingi lakini hawajui haki zao kutoka kwenye mamlaka za bima.
Lakini moja ya kitu ambacho kimenishangaza ni jinsi viongozi wa kisiasa walivyoikomalia suala hili katika sura nyingine ya bima.
Naelewa ajali za ndege ni nadra lakini hiyo haimaanishi mamlaka zitoe kipaumbele kwenye bima za ndege na kusahau zile za magari tena ambazo zinaua watu wengi kila siku.
Serikali na mamlaka za bima ziwe fair, nashauri elimu itolewe kwa wingi kuhusu bima za magari kwa kuwa wengi ambao wana uelewa hiyo kitu ni madereva na wamiliki wa vyombo.
Kitu kifanyike, abiria wengi wanakufa, wanaumia, wanapata ulemavu na athari nyingine nyingi lakini hawajui haki zao kutoka kwenye mamlaka za bima.