Vigezo vyao ndivyo vinawafelisha, actor lazima uwe mweupe, shombeshombe na kung'ata lips na actress uwe na sura, shepu (yaani bonge la tako la haja), kuhusu kipaji si muhimu kwani utaelekezwa humu humu. Matokeo yake Sanaa haina ubunifu sababu imekosa watu wenye vipaji 100% na vilevile mtu mmoja kuplay role zaidi ya moja (director yy, script writter yy, actor yy, story writter yy). Usitegemee kupata product nzuri, bora comedy wanafanya vizuri lkn hawa wengine, mm huwaga naangaliaga matako kwenye tamthilia zao ila hamna kitu.