Kwa hakika Chama hiki (CHADEMA)kina mipango, mikakati na dhamira ya dhati ya kuchukua dola. Wanajua njia waipitayo.
Msimamo wa mwenyekiti Mbowe ni thabiti na haujawahi kuyumba.
Wakati CCM wakiwa bungeni kupitisha bajeti, Chadema wako majimboni kwa mikakati madhubuti kidigitali kuipanda Imani ya chama kwa wananchi.
Yaani heri Chadema ya Bungeni kuliko hii iliyopo kitaa kwa sasa.
Inajijenga, inapaa, CCM hawakumuona holo. Fikiria kina Mdee wangekuwa nje ya Bunge nao. Huo mziki ungekuwaje?
Ila shetani akawadanganya dada zetu wale.
Ni dhahiri kuwa CCM sasa itawapasa wajiandae na wajipange na wasahau kabisa kutumia dola kubaki kwenye dola Kama walivyoelekezwa na katibu mkuu wao mstaafu, Dr.Bashiru.
Safari ya Tume Huru na katiba Mpya sio lele mama.
Washindani siasani wamekataa unyonge. Wameamua kupambana kwa hoja si vihoja. Wameamua kuiamsha ari ya nguvu ya umma unaowaunga mkono.
Msimamo wa mwenyekiti Mbowe ni thabiti na haujawahi kuyumba.
Wakati CCM wakiwa bungeni kupitisha bajeti, Chadema wako majimboni kwa mikakati madhubuti kidigitali kuipanda Imani ya chama kwa wananchi.
Yaani heri Chadema ya Bungeni kuliko hii iliyopo kitaa kwa sasa.
Inajijenga, inapaa, CCM hawakumuona holo. Fikiria kina Mdee wangekuwa nje ya Bunge nao. Huo mziki ungekuwaje?
Ila shetani akawadanganya dada zetu wale.
Ni dhahiri kuwa CCM sasa itawapasa wajiandae na wajipange na wasahau kabisa kutumia dola kubaki kwenye dola Kama walivyoelekezwa na katibu mkuu wao mstaafu, Dr.Bashiru.
Safari ya Tume Huru na katiba Mpya sio lele mama.
Washindani siasani wamekataa unyonge. Wameamua kupambana kwa hoja si vihoja. Wameamua kuiamsha ari ya nguvu ya umma unaowaunga mkono.