Pre GE2025 Wakati CHADEMA wakiendelea na no reform no election, UVVCM wanasema uchaguzi wa mwaka huu utakuwa ni pigo la "Radi" kwa wapinzani

Pre GE2025 Wakati CHADEMA wakiendelea na no reform no election, UVVCM wanasema uchaguzi wa mwaka huu utakuwa ni pigo la "Radi" kwa wapinzani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Wakuu anayejua pigo la radi aje atuelezee linavyokuwa, ili tupate picha ya kitakachotokea hiyo October.

===

Mjumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Victor Makundi amesema ushindi wa chama hicho katika uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba mwaka huu utakua pigo la Radi kwa wapinzani.

Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makundi ameyasema hayo alipotembelea kambi ya viongozi wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka wilaya zote za Kilimanjaro wanahudhuria mafunzo maalum ya kimkakati yanayolenga kuwaandaa kwa uchaguzi mkuu wa 2025.

Katika mafunzo hayo yanafanyika wilayani Hai na kujumuisha zaidi ya washiriki 700 Makundi ametoa rai kwa Cha cha Wanasheria Tanzania (TLS) Tume ya Maadili ya Mawakili na Mahakama kuu kutowafumbia macho wanachama wao wanaoonesha dalili ya kuvunja katiba ya nchi .

 
Wajinga hawa! hawaji wasemalo wala wanalolifiri..... wanajua kuwa wanaiba kura, lkn kwa vile wana upako wa shetani, hawana akili za kuwaza ukweli!
 
Ni kweli

Aidha, ni kweli kabisa kwamba hakuna uwezekano wa kuzuia kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Mwaka huu wa 2025.

Vile vile, ni kweli kabisa kwamba Hoja za Watu wa CHADEMA ni za kweli, pia ni za msingi. Hoja zao zina mashiko kuhusiana na Kukosekana kwa Mamlaka zinazoaminika kwa ajili ya kusimamia Uchaguzi ulio huru, wa HAKI na ulio wa Wazi.

Jambo muhimu zaidi la kuzingatiwa ni kwamba: KAMWE CCM HAITAWEZA KUKUBALI KWA HIYARI KUBADILISHA MIFUMO YA UCHAGUZI. NA KAMWE CCM HAITAWEZA KUKUBALI KWA HIYARI KUBADILISHA KATIBA YA NCHI.

KAMWE HAUPO KABISA UWEZEKANO WA KUBADILISHA KATIBA YA NCHI KWA NJIA ZA KIDEMOKRASIA. HAUPO UWEZEKANO!

Kwa bahati mbaya sana, huu ndio Ukweli mchungu Sana kupita kiasi!
 

Attachments

  • 5811771-84b12f6d5ff81d807821a183416ac2ed.mp4
    648.4 KB
Wakuu anayejua pigo la radi aje atuelezee linavyokuwa, ili tupate picha ya kitakachotokea hiyo October.

===

Mjumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Victor Makundi amesema ushindi wa chama hicho katika uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba mwaka huu utakua pigo la Raidi kwa wapinzani.

Makundi ameyasema hayo alipotembelea kambi ya viongozi wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka wilaya zote za Kilimanjaro wanahudhuria mafunzo maalum ya kimkakati yanayolenga kuwaandaa kwa uchaguzi mkuu wa 2025.

Katika mafunzo hayo yanafanyika wilayani Hai na kujumuisha zaidi ya washiriki 700 Makundi ametoa rai kwa Cha cha Wanasheria Tanzania (TLS) Tume ya Maadili ya Mawakili na Mahakama kuu kutowafumbia macho wanachama wao wanaoonesha dalili ya kuvunja katiba ya nchi .

View attachment 3258477
Hao vijana wakitoka hapo wanaenda kwenye magroup kukutana na wenzao wa NETO kulia kuhusu ajira🤣🤣🤣uzuri wa haya maumivu yanapokuja hayachagui chama yanapiga kwa wote
 

Attachments

  • 20250304_132741.jpg
    20250304_132741.jpg
    91.9 KB · Views: 1
Hao vijana wakitoka hapo wanaenda kwenye magroup kukutana na wenzao wa NETO kulia kuhusu ajira🤣🤣🤣uzuri wa haya maumivu yanapokuja hayachagui chama yanapiga kwa wote
kwamba wapo pia kwenye magroup ya NETO, ila mbele ya Cameara wanajitoa ufahamu
 
Back
Top Bottom