Wakati Dkt. Kigwangalla anagawa baiskeli kama karanga, wafanyakazi wa Tanapa hawajalipwa mshahara miezi miwili sasa!

Anasema ameuza mpunga magunia ya kutosha
 
Jamaa huko twitter kasema ameuza mpunga gunia 1500 kwa TZS 65,000 kila gunia.

Navyomjua Kigwa, angepiga hata pichq za hayo mashamba na kutonesha hatua zote hadi akimalizia kuvuna achilia mbali mauzo aliyofanya.

Sijui kamuuzia nani huo mzigo.

Sijui kama hata kodi na ushuru amelipa.
 
wanateseka sana
 

Mbona hakuna Logical Connection kati ya Headline yako na Content hii ya Uzi? Nilitegemea hapa sasa ndiyo ungetuhabarisha zaidi kile unachokijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…