Hii tabia ya Channel ten kukatisha matangazo pale ambapo wabunge wa upinzani wanapoanza kuchangia au kutajwa na Spika haijakaa sawa. Kwa mfano leo wamekatisha wakati Msemaji wa Kambi rasmi ya upinzani alipotajwa kuwasilisha maoni, wakarudi wakati wa kuchangia, aliposimama Zitto Kabwe kuchangia hata hajamaliza wakakata tena.
Inakera