miamiatz
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 505
- 941
Jitihada ni kulifanya jambo bila kuchoka wala kukata tamaa. Kipaji ni uwezo wa kubuni jambo ambalo lotawaacha wengine wabaki waoh.
Wakati huu ni wakati wa kuunganisha jitihada na vipaji ili kushinda ugumu wa maisha.
Kipaji huongeza kasi (speed). Jitihada huondoa uvivu. Kama unavyo vyote lazima utawin tu.
Kipaji na jitihada zilivyonisaidia wakati napitia magumu.
Ilikuwa nalazimika kwa siku kupitia websites 10 na makampuni na kuandika report ya findings and recommendations bila hata kuombwa kufanya hivyo.
Kwa mwezi nilikuwa napitia websites kana 250 hivi. Ilikuwa ni lazima nifanye haya masaa mengi sana.
Kila report niliituma kwa mtu sahihi wa kampuni husika. Mwezi wa kwanza nilipata kampuni tatu mabosi walinitafuta kwa simu na kuomba nifanyie kazi zile recomendatios. Nikaanza kupata pesa.
Mwezi uliofata nikapata kazi 7. Sasa ikawa kazi zinaanza kunizidia ikabidi nipunguze idadi ya report nnazotuma ili nipate muda wa kufanya kazi hizo ninazopewa.
Namshukuru Mungu nilivuka kipindi hicho kwa mtindo huo. Haikuwa kazi rahisi mana nilikuwa nikilala masaa sita tu kwa siku. Hii ndio inaitwa hard earned money.
Courtesy of miamiatz
Wakati huu ni wakati wa kuunganisha jitihada na vipaji ili kushinda ugumu wa maisha.
Kipaji huongeza kasi (speed). Jitihada huondoa uvivu. Kama unavyo vyote lazima utawin tu.
Kipaji na jitihada zilivyonisaidia wakati napitia magumu.
Ilikuwa nalazimika kwa siku kupitia websites 10 na makampuni na kuandika report ya findings and recommendations bila hata kuombwa kufanya hivyo.
Kwa mwezi nilikuwa napitia websites kana 250 hivi. Ilikuwa ni lazima nifanye haya masaa mengi sana.
Kila report niliituma kwa mtu sahihi wa kampuni husika. Mwezi wa kwanza nilipata kampuni tatu mabosi walinitafuta kwa simu na kuomba nifanyie kazi zile recomendatios. Nikaanza kupata pesa.
Mwezi uliofata nikapata kazi 7. Sasa ikawa kazi zinaanza kunizidia ikabidi nipunguze idadi ya report nnazotuma ili nipate muda wa kufanya kazi hizo ninazopewa.
Namshukuru Mungu nilivuka kipindi hicho kwa mtindo huo. Haikuwa kazi rahisi mana nilikuwa nikilala masaa sita tu kwa siku. Hii ndio inaitwa hard earned money.
Courtesy of miamiatz