Wakati Kenya ikishindwa kusimamia ugawaji wa chakula na kusababisha vifo kwa kukanyagana, Uganda yawatumia wanajeshi kugawa chakula

Wakati Kenya ikishindwa kusimamia ugawaji wa chakula na kusababisha vifo kwa kukanyagana, Uganda yawatumia wanajeshi kugawa chakula

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Ukweli lazima tuuseme, Kenya ni nchi ya ajabu sana, Kenya haina uwezo wa kutekekeza jambo lolote kwa ufasaha.

Tuneshuhudia watu wakipigwa na kuuliwa na polisi katika zoezi zima la kutekeleza amri ya kutotoka nje ili kupambana na maambukizi ya Corona. Juzi hata zoezi la kugawa chakula limesababisha vifo kutokana na nchi kushindwa kujipanga katika kutekeleza majukumu yake.

Wakati Kenya ikiripoti visa vya mateso na vifo kwa wananchi kutokana na uzembe wa kutojipanga kwa serikali, nchi Jirani za Rwanda na Uganda ambazo ndio zilizoanza zoezi la kusambaza chakula bure, wamefanikiwa kusambaza vyakula kwa amani bila kuhatarisha maisha ya wananchi.

Swali la kujiuliza, hivi ni kwanini Kenya hawapendi kujifunza toka kwa majirani pamoja na ukweli kwamba Kenya ndio nchi ibayofanya vibaya katika kila mradi hapa EA?.
 
MK 254 njoo hapa!! Raia wa nchi ya uchumi wa Kati wanagombania chakula na kukanyagana hadi mtu anakufa! kulikoni?
 
Bado wanakazi ya kupima kwanza covid-19 huko subilini kwanza
 
MK 254 njoo hapa!! Raia wa nchi ya uchumi wa Kati wanagombania chakula na kukanyagana hadi mtu anakufa! kulikoni?
Kalala sasa hivi ni muda qa curfew,hawezi kwenda mjini kwenye internet cafe,na anapokaa kibera hakuna huduma hiyo
 


Ukweli lazima tuuseme, Kenya ni nchi ya ajabu sana, Kenya haina uwezo wa kutekekeza jambo lolote kwa ufasaha.

Tuneshuhudia watu wakipigwa na kuuliwa na polisi katika zoezi zima la kutekeleza amri ya kutotoka nje ili kupambana na maambukizi ya Corona. Juzi hata zoezi la kugawa chakula limesababisha vifo kutokana na nchi kushindwa kujipanga katika kutekeleza majukumu yake.

Wakati Kenya ikiripoti visa vya mateso na vifo kwa wananchi kutokana na uzembe wa kutojipanga kwa serikali, nchi Jirani za Rwanda na Uganda ambazo ndio zilizoanza zoezi la kusambaza chakula bure, wamefanikiwa kusambaza vyakula kwa amani bila kuhatarisha maisha ya wananchi.

Swali la kujiuliza, hivi ni kwanini Kenya hawapendi kujifunza toka kwa majirani pamoja na ukweli kwamba Kenya ndio nchi ibayofanya vibaya katika kila mradi hapa EA?.

Kenya inafanya vibaya katika kila mradi ilhali tuna Uchumi mkubwa kushinda nchi zote Afrika Mashariki? Hata Watanzania wenzako hawawezi kuamini unachosema.
 
Kalala sasa hivi ni muda qa curfew,hawezi kwenda mjini kwenye internet cafe,na anapokaa kibera hakuna huduma hiyo
Wewe hujui Wakenya wengi wanamiliki smart phone kushinda Watanzania?
 
Lakini hamuwezi kuusambaza kwa wananchi, muhimu ni kuufikisha kwa wananchi sio kuzalisha.
Kenya tunaproduce 2,800 MW na tunaconsume 1,900 MW. Nyinyi kwa vile mnaproduce 1,300 MW basi mnaconsume pengine 1,000 MW au hata chini ya hio. Ndio maana mnaitwa LDC.
 
Kenya tunaproduce 2,800 MW na tunaconsume 1,900 MW. Nyinyi kwa vile mnaproduce 1,300 MW basi mnaconsume pengine 1,000 MW au hata chini ya hio. Ndio maana mnaitwa LDC.
Data za umeme Tanzania 2016 mpelekee wanjohi wa mashati.
 
KDF sahii inasadia ofisi zengine za serekali kutoa usaidizi kwa wakenya waliokumbwa na mafuriko.

Wakenya hao wanahamishwa kutoka kwa maeneo yalio na mafuriko na kuwekwa kwa kambi mahali ambapo hapana mafuriko na kujengewa mahema waishi hapo mpaka pale maji yatapungua

104204526_2049453681865669_8579949526818340548_n.jpg


104113062_2049453721865665_8485606224646219970_n.jpg


104213166_2049453758532328_7652107307371652067_n.jpg

83005281_2049453791865658_3125057508568800799_n.jpg



103016559_2044201155724255_3588105751157978960_n.jpg

103144997_2044201262390911_5895764491994482079_n.jpg

102868822_2044201319057572_3637046166462175816_n.jpg



101616589_2041285586015812_1339895239321583616_n.jpg


101940191_2041285642682473_6390002512778231808_o.jpg
 
Tupe za 2019 kama unazo
Sijui huwa ni matatizo ya akili mnakuwa nayo au ni ile tabia ya kupenda kuficha vichwa kwenye mchanga!

Hii maneno mbona imerudiwa sana humu?

April 2019 ilikuwa 1,602 megawatts,

Ukumbuke pia kuwa viwanda vingi kwa sasa hapa Tanzania vinatumia gesi kujiendesha.
 
Kenya tunaproduce 2,800 MW na tunaconsume 1,900 MW. Nyinyi kwa vile mnaproduce 1,300 MW basi mnaconsume pengine 1,000 MW au hata chini ya hio. Ndio maana mnaitwa LDC.
Tunaomba ushahidi ni % ngapi ya wakenya wameunganishwa na UMEME?, tukimaliza tunakuja kwenye MAJI. Hahahaha
 
Sijui huwa ni matatizo ya akili mnakuwa nayo au ni ile tabia ya kupenda kuficha vichwa kwenye mchanga!

Hii maneno mbona imerudiwa sana humu?

April 2019 ilikuwa 1,602 megawatts,

Ukumbuke pia kuwa viwanda vingi kwa sasa hapa Tanzania vinatumia gesi kujiendesha.
Sasa kama mnaproduce 1,602 MW basi mnatumia takriban 1,300 MW au hata chini ya hio.
 
Back
Top Bottom