Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Asalaam aleykum,
Nianze moja kwa moja, historia hii ya kuama vyama na kwenda kwingine siyo hadithi ngeni, hata Katibu Mkuu wa CCM, aliwahi kuwepo chadema kwa mapumziko, na ilipo fika wakati alirejea CCM.
In short Msigwa rudi nyumbani, hakuna aibu yoyote, rejea mapema tujenge chama.
Naunga mkono hoja 100%Asalaam aleykum,
Nianze moja kwa moja, historia hii ya kuama vyama na kwenda kwingine siyo hadithi ngeni, hata Katibu Mkuu wa CCM, aliwahi kuwepo chadema kwa mapumziko, na ilipo fika wakati alirejea CCM.
In short Msigwa rudi nyumbani, hakuna aibu yoyote, rejea mapema tujenge chama.
Wee hawezi kurudi.. Tayari ni mateka kule.. Na keshakula vya watu na kuvirudisha hawezi๐๐๐Asalaam aleykum,
Nianze moja kwa moja, historia hii ya kuama vyama na kwenda kwingine siyo hadithi ngeni, hata Katibu Mkuu wa CCM, aliwahi kuwepo chadema kwa mapumziko, na ilipo fika wakati alirejea CCM.
In short Msigwa rudi nyumbani, hakuna aibu yoyote, rejea mapema tujenge chama.
Soma: Msigwa atupa dongo kwa Mbowe baada ya kushindwa Uchaguzi CHADEMA asema "Shimo alilonichimbia mimi ametumbukia mwenyewe"
Nimerekebisha mkuu ni makamu mwenyekiti ccm, bara, sorry 4 that!Hivi katibu mkuu wa ccm ni nani wakuu?
Hekima kuu ni wanachadema wote wakae pamoja, wasameheane wasonge mbele!..Slaa arudi, msigwa arude lakini Halima hamumtaki sio?