sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kwenye utamaduni wetu huu wa elimu ndio ukombozi wa umasikini ni ngumu kueleweka kwenye jamiii na familia zetu, naona kidogo muziki umeanza kutolewa macho kitofauti baada ya mtoto wa Tandale kufanya wonders japo kuna fursa nyingine bado sana hatuzioni wenzetu wa nigeria wazee wa fursa sasa wamekimbilia kwenye UFC per Night fight minimum pay adi 14,000usd bado tunakomaa na Organic chemistry na tunaimport dawa waste of time.Yaani ukimuandaa mtoto wako saizi unakuta huyo mtoto mpaka afike 25 anaexperience ya kutosha kwenye business kuliko walihitimu vyuo maana anajua ups and downs za business (mfano hai ni watoto wa waarabu)
Pia, anajifunza namna ya kuinvest na risk zake hata anaweza foresee future ya business, Sasa hawa wetu wengi tunakosea kuwasubirisha matokeo yake wanajua baba Ana hela yy kula kulala hataki kwenda hata shamba kusimamia na kujifunza na ukijaribu wife anaingilia Kati eti unamtesa mwanae ambae kutwa kushinda kwenye magemu, fifa, unazi wa mpira usio na msingi na movie kweli hapo kwann ukifa waanze kuuza mali kwa bei ya hasara
#Israel Adsanya & Usman Kamaru..... Fursa zpo tele lakin mawazo, utamaduni, elimu yetu mgando ni changamoto kubwa sana kwa kizazi chetu.Kwenye utamaduni wetu huu wa elimu ndio ukombozi wa umasikini ni ngumu kueleweka kwenye jamiii na familia zetu, naona kidogo muziki umeanza kutolewa macho kitofauti baada ya mtoto wa Tandale kufanya wonders japo kuna fursa nyingine bado sana hatuzioni wenzetu wa nigeria wazee wa fursa sasa wamekimbilia kwenye UFC per Night fight minimum pay adi 14,000usd bado tunakomaa na Organic chemistry na tunaimport dawa waste of time.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Kwani wahindi wao wanafanyajeNimejaribu kusoma mada na michango yenu.
Nimegundua hapa wengi mnaongea hisia. Either hamna hata mmoja wenu mwenye mtoto.
Mbili, mtoa mada hujaelezea muda mtoto anatakiwa akae ajuzwe au apewe changamoto za maisha.
Tatu, unaongelea mtoto kujua utafutaji au kujua changamoto ya maisha.
Nne, Nakataa mfano wako eti wahindi. Ushawahi kumuona muhindi kamuweka mtoto dukani anauza?
Wanauza maduka yao wenyewe. Issue ni kwamba sisi wengi hatujihusishi na biashara tunazoweza walithisha watoto wetu. Wanasema ukitaka fanikiwa kwenye biashara flani. Inabidi uhusiane na watu wa biashara hyo. Automatically mtoto anakua akiwa na taswira ya biashara za wazazi au kaka na dada zake.Kwani wahindi wao wanafanyaje