Wakati najiuza niliwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua

 
Kumbe fisi ndo watamu vile, sitaacha kununua madada poa kwa utamu ule
 
WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 03

‘ Hiii staili ndio safi…” ALiniambia akiwa anamshika shika mdyudyu wake na kumpaka mate.

Nilitulia tuli kusubiri kuona kitakachotokea.

Sijui ni Bahati mbaya au nzuri, kabla Ahmed hajaniingia, mlango wa kile chumba ulisukumwa akaingia mama akiwa na chupa ya bia mkononi. Bila huruma alimpiga nayo Ahmed kichwani,Damu ziliruka akaanguka chini.

Pale chini alitulia kama maji ya kwenye mtungi! Hakuongea wala Hakutikisika.

Haraka mama alinitoa mle ndani.

“ Tumpeleke Ahmed hospitali..” Nilimwambia.

“ Paaa…paaaaaa..” ALinipiga .

Alinitaka nikae kimya.

Tuliondoka.

Tulikata mitaaa kuondoka eneo lile, ajabu zaidi hatukuelekea nyumbani. Njia tuliyokuwa tunaenda ilikuwa mpya kwangu.

“ Huku wapi mama?”

‘ Hebu kaaa kimyaaa..”

Tulitembea kwa muda wa masaa karibu matatu pasipokupumzika, majira ya saa saba usiku, tulifika kweye nyumba ndogo iliyokuwa nje kabisa ya mji. Mama alibisha hodi mwenyeji akatufungulia.

“ Mama lucy umefika…..” Alitamka Yule mtu kwa mshangao.

“ Uuuu…uuuuu…” Mama alihema.

“ Naomba utuhifadhi hapa kwa mudaa..kesho tutaondokaaa..” ALiongea mama.

“ sawa.. ila nahitaji kujua shida nini.”

“ Nitakuambia asubuhi .” ALiongea mama. Yule mbaba alkubali na kutuonesha chumba cha kulala.

………………

Siku ya pili tukiwa pale, niligundua mama na yule mtu walikuwa na mahusiano ya kimapenzi. Nikiwa nje, nilimsikia yule mtu akimuomba mama abaki pale waishi wote.

“ Utaishije na kahaba?” ALiuliza mama.

‘ Nimekupenda ulivyo… tuishi wote..”

“ Hapana Muudi…siwezi kuolewa mimi.”

“ Lakini mama lucy mbona sikuelewi! Kama hutaki kuishi na mimi kwanini kila ukiwa na matatizo unakuja kwangu?”

“ Inamana hutaki nije kwako?”

‘ Hapana…sijamaanisha hivyo..nataka tu kujua.. pia nataka kujua kuhusu mwanangu lucy… Ataishi maisha haya mpaka lini?’

“ Eeeeh! Mwanao lucy? , nani kakuambia huyu mwanao? Nani aliyekudanganya lucy mwanao?” ALiuliza mama kwa ukali.

Maneno haya yalinipa shauku ya kujua zaidi, nilishndwa kuvumilia. Nilitoka pale nilipokuwa na kuingia ndani.

“ inamaana huyu ni baba yangu?”

‘ Weee…komaaaaaa...hivi unajiona unafanana na huyu mtu? Baba yako alishakufa kitambo.”

“ Mama lucy hebu mwambie ukweli lucy..mwambie mimi ni baba yake.” ALiongea yule mtu.

“ Kila siku nakukatalia hilo! Huyu sio mwanao, angekuwa mwanao ningekuambia…huyu sio mwanao… ile mimba uliyonipa wewe niliitoa… na ukitaka kuthibitisha mchukue mkapime DNA.” Aliongea mama. Maneno yake yalimchosha yule jamaa. Nilimuona sura yake ikibadilika.

Alisimama na kwenda kuufungua mlango.

‘ Naomba ondokeni nyumbani kwangu..” ALongea akiwa kachukia isivyokuwa kawaida.

‘ Nitaenda wapi usiku huu?’

“ Utajua wewe! Siku zote nilikusaidia kwakuwa nilihisi lucy ni mwanangu! Kwakuwa sio mwanangu naomba uondoke… tena ondoka sasa hivi..”

‘ Lakini sahivi ni usiku..”

“ Sijali hilo…tokaaaaa…” ALiongea kwa ukali sana. Hatukuwa na namna Tuliondoka. Tukiwa nje nilimwambia mama tulirudi nyumbani kwetu lakini aligoma. Aliniambia anawasiwasi Ahmed kafa.

“ Kwahiyo tunafanyaje?”

“ Twende stendi kuu! Tutalala kisha asubuhi tutapanda gari na kurudi kijijini.” ALiniambia. Nilikubaliana naye. Tulielekea stendi, kulikuwa mbali sana na pale, na kwakuwa tulikuwa tunatembea kwa mguu tulitumia muda mwingi, hadi inafika saa tano usiku bado tulikuwa njiani.

Tukiwa kwenye uchochoro mmoja, katika hali isiyokuwa ya kawaida, gafla bin vuu, tulizungukwa na vibaka zaidi ya sita wakiwa na mapanga.

“ Hakuna kitu kizuri kama kuwapora wanawakeee… yaani unawanyanganya vitu na burudani unapata..” ALiongea kibaka mmoja

WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 04

“ Hakuna kitu kizuri kama kuwapora wanawakeee… yaani unawanyanganya vitu na burudani unapata..” ALiongea kibaka mmoja.

ALimsogelea mama na kumwekea panga shingoni.

“ Tafadhali tuacheni twende…”

“ Uende….ahahaha..ahahaha..na ulivyomzuri hivi tunakuachaje uendeee…” ALiongea yule kibaka huku akiishusha suruali yake chini.

“ Basi muacheni mwanangu aende..nifanyeni chochote mnachotakaaa.. ila mwanangu msimguseee.” ALiongea mama.

“Eeeeeh! Kwani yeye ananini cha ajabu ambacho hatutakiwi kukigusaaa?’ ALiuliza yule kibaka. ALiwapa ishara wenzake wakazichana nguo zangu! Mama alipiga kelele lakini haikusaidia kitu. Walinitoa nguo zote.

“ Naanza mimi….naanza mimi…”

“ Mimi…..mimi…” Wao kwa wao waligombaniana nani aanze kwangu. Gafla tulisikia kishindo cha watu wakija upande ule.

“ Sungu sungu…” Wale vibaka waliongea. Haraka walichukua vitu vyao na kukimbia. Walituacha na mama tukiwa hatuamini kilichotokea, Haraka haraka mama alinisitiri. Haikuchukua muda sungu sungu walifika pale.

Waliuuliza kama tumeliona kundi la vibaka tukawaambia tumeliona na tukawaelekeza walikoenda.

……………………

Majira ya saa tisa usiku tulifanikiwa kufika stendi. Tulilala pale , asubuhi sana tulipanda basi la kuelekea njombe. Ndani ya gari tulikutana na mkaka tuliyekuwa tunaishi nae mtaa mmoja.

Alitueleza kuwa Ahmed amekutwa amekufa hotelini.

Tulijifanya kushangaa kama hatujui kitu.

Hatimaye tulifika kiijini njombe.

Tulianza maisha mapya kabisa ya kilimo ambacho sikuwa nakijua! Licha ya kutokipenda kwa kiasi kikubwa kilinipa amani. Niljikuta naridhika na tunaishi kwa amani kwa bibi.

Miezi mitatu mbele tukiwa kwa bibi, mama alianza kuumwa, alikuwa akiharisha na kutapika. Tulimpeleka hospital ikagundulika anaUKIMWI. Bibi alitaka anifiche ugonjwa wa mama lakini mama mwenyewe alitaka nijue.

Ndani ya muda mfupi mama alikonda kupita maelezo, alianza kutumia dawa za kufubaza virusi vya ukmwi lakini hazikumpenda, licha ya kuzitumia alitoka vidonda na kuumwa umwa kila mara.

Iliifika kipindi hali yake ilikuwa mbaya na hatukuwa na hela za kumtibia, bbi alifanya mpango tukauza shamba la miti alilonunua ili tuweze kumtibu mama. Tuliondoka naye kjijini hadi hospitali ya Likonda.

Tulikaa nae mwezi mmoja hospitali, hali yake ilizidi kuwa mbaya, badala ya kupata nafuu matatzo kwenye mwili wake yaliongozeka. Akiwa hospital alibabuka mgongoni kwa moto wa mungu . Hali yake ilikuwa mbaya sana, iliumiza hata kumtazama.

“ Lucy..lucy…” Aliniita tukiwa wawili tu hospital.

“ Abee mama..”

“ Unaona ninachopitia?”

‘ Ndio mama… pole..’

“ Usinipe pole..unachotakiwa kufanya ni kukaa mbal na ukahaba..usije kujaribu kufanya ile biashara… ni mbaya..ona nimepata UKIMWI, Lakini mbaya zaidi hata dawa hazinitaki , nimechukua mikosi kwa watu niliokuwa nalala nao.” Aliniambia.

Alinisisitiza tena na tena nisirudi dar na kwenda kujiuza.

Nilimkubalia.

…………….

Mwezi mmoja mbele mama aliaga dunia! Nililia sana aiseeee. Hela yote tuliyopata kwakuuza shamba la miti ilitumika hospital na nyingine iligharamia mazishi. Tulibaki watupu tusio na mbele wala nyuma.

Bibi hakuwa na nguvu za kuliima, na mimi kilimo niliikuwa sikijui hivyo nilishindwa kabisa kukiendeleza.

Baada ya kuishi kwa mateso sana niliamua kurud mjini. Niliamua kwenda kufanya bishara ile ile aliyokuwa anaifanya mama. Ila niliipanga kutumia kondomu kwa watu wote, nilijiapiza sitakuja kulala na mwanaume bila kondomu.

Niliamini kwakufanya hivyo sitapata ukimwi.

Nilirudi pale pale tulipokuwa tunakaa na mama, bahati nzur chumba chetu kilikuwa kipo vile vile. Niliongea na mwenye nyumba nikaendelea kukaaa,Wakati huo nilikuwa na miaka 16 tu. Nilitafuta mavazi ya mitego na nikakaaa mlangoni kama makahaba wengine wa pale wanavyofanya.

Ajabu kama ilivyokuwa kwa mama, nami gundu lilinijaaa. Watu walnipata tu paspokuulza chochote. Wateja waote walienda kwenye chumba cha wale mabinti kutoka bukoba.

“ Ndio mana makahaba weng wamehama hapa?” Nilijulza baada ya kuona vyumba vya baadhi ya makahaba vimefungwa. Nilmuulizia shoga yake mama aitwae mama Husna hakuwepo, naye alkuwa kahama.

“ Ndo mana chumba cha mama nimekikuta kama kilvyo, kumbe makahaba wamepakimbia hapa.” Nilijiambia moyoni, lakini wakati najiambia hayo, katka hali isiyokuwa ya kawaida, kwenye vyumba vya wale wadada wa bukoba lilizuka zogo kubwaa.

Watu walipiga kelele na kusema fisi fisii.

Nikiwa nashangaaaa, nilimshuhudia dada aliyekuwa akijuza mle ndan akitoka nje na kuanguka chini akiwa kachomwa kisu tumboni na masai.

Nakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…