Wakati sahihi wa kuondolewa aibu yako.

Wakati sahihi wa kuondolewa aibu yako.

jitwangabalogi

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2018
Posts
476
Reaction score
636
Tunayo furaha kuwaalika kwenye kongamano maalum kati ya tarehe 27 na 28 September, 2024. Kongamano hili litaongozwa na Apostle Luciana,(Mbezi Beach_Bondeni) kuanzia saa nane Kamili mchana.

Mnakaribishwa wote,,,Na usisite kuwafikishia habari hizi njema watu wote!

#Shukrani#
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-19-20-24-54-21_6012fa4d4ddec268fc5c7112cbb265e7.jpg
    Screenshot_2024-08-19-20-24-54-21_6012fa4d4ddec268fc5c7112cbb265e7.jpg
    378.6 KB · Views: 6
  • VID-20240827-WA0002.mp4
    5.1 MB
Tunayo furaha kuwaalika kwenye kongamano maalum kati ya tarehe 27 na 28 September, 2024. Kongamano hili litaongozwa na Apostle Luciana,(Mbezi Beach_Bondeni) kuanzia saa nane Kamili mchana.

Mnakaribishwa wote,,,Na usisite kuwafikishia habari hizi njema watu wote!

#Shukrani#
Samahani Kiongozi! Hivi Apostle Luciana tayari ameshaolewa? Maana nilivyo muona tu kwenye hilo tangazo lenu, naona mapigo yangu ya moyo yanaenda mbio kumshinda mpaka mwanariadha mashuhuri Usain Bolt. 😩
 
Chakula kitak
Tunayo furaha kuwaalika kwenye kongamano maalum kati ya tarehe 27 na 28 September, 2024. Kongamano hili litaongozwa na Apostle Luciana,(Mbezi Beach_Bondeni) kuanzia saa nane Kamili mchana.

Mnakaribishwa wote,,,Na usisite kuwafikishia habari hizi njema watu wote!

#Shukrani#
Chakula kitakuwepo ?
 
Back
Top Bottom