Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzako tunafikiria kubeba ubingwa ili tutupie mapichapicha ya kombe wewe unatuletea mapichapicha ya kuvalishwa irizi.Tulishatoka huko kwenye michuano ya U17, Mbumbumbu siku zote ni Mbumbumbu tu!
View attachment 3245152
Mlisha Toka huko kwana Sasa mnaenda wapi?Kwa hakika SIMBA ni timu kubwa sana afrika just imagine wakati tunajiandaa kucheza na almasry kwenye michuano ya CAF, yanga wanaenda kucheza ndondo cup na mashujaa kigoma.
Ifike muda muache kuifananisha SIMBA na vitu vya kijinga sawa.
Sawa Sawa mkuuKwa hakika SIMBA ni timu kubwa sana afrika just imagine wakati tunajiandaa kucheza na almasry kwenye michuano ya CAF, yanga wanaenda kucheza ndondo cup na mashujaa kigoma.
Ifike muda muache kuifananisha SIMBA na vitu vya kijinga sawa.
Safari kinyongeee...na ya mwishooo....!!Kwa hakika SIMBA ni timu kubwa sana afrika just imagine wakati tunajiandaa kucheza na almasry kwenye michuano ya CAF, yanga wanaenda kucheza ndondo cup na mashujaa kigoma.
Ifike muda muache kuifananisha SIMBA na vitu vya kijinga sawa.