Wakati tangu 23/10/2021 mishahara ya umma imelipwa, lakini kwa Mkuranga bado

Wakati tangu 23/10/2021 mishahara ya umma imelipwa, lakini kwa Mkuranga bado

wakikosi

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
1,354
Reaction score
1,490
Mkuranga kuna nini pale, maana hadi leo Jumatatu watumishi wa umma hawajalipwa, lakini nasikia maeneo mengine Tanzania watu walishalipwa na sasa wanakula jasho lao tu.

Mkuranga kuna nini pale?
 
Uwe mvumilivu bado wanakusanya, unaacha kuwabana wafanyabiashara walipe kodi unakimbilia kwenye matozo ya ajabuajabu matokeo yake ndio hayo.Vumilia tu hakuna namna.
 
Mkuu siyo mkuranga tu. Maswa pia bado bila bila hadi muda huu.
 
Mkuranga kuna nini pale, maana hadi leo Jumatatu watumishi wa umma hawajalipwa, lakini nasikia maeneo mengine Tanzania watu walishalipwa na sasa wanakula jasho lao tu.

Mkuranga kuna nini pale?
Mimi nilidhani ni huku Nyarugusu tu kumbe hadi Mukuranga. Magufuli fufuka tunateseka baba.

Magonjwa Mtambuka
 
Japo serikali ya CCM ina maovu mengi lakini la mshahara ya october unadanganya sana. Mingi imetoka/ inatoka leo.
 
Japo serikali ya CCM ina maovu mengi lakini la mshahara ya october unadanganya sana. Mingi imetoka/ inatoka leo.
Kumbe haijatoka hadi muda huu saa 6:20 mchana.

Sasa uongo wangu uko wapi?
 
Bado mko mnafurahia 6-1 dhidi ya Mourinho?
 
Back
Top Bottom