Wakati Tanzania yenye utajiri wa gesi ikiagiza mafuta kwa mabilioni ya Fedha za Kigeni, Nigeria yaamuru magari yawekwe mfumo wa gesi

Wakati Tanzania yenye utajiri wa gesi ikiagiza mafuta kwa mabilioni ya Fedha za Kigeni, Nigeria yaamuru magari yawekwe mfumo wa gesi

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kila siku nasema.

Tatizo letu Tanzania sio uwepo wa rasilimali bali ni kuwa na watu wenye akili sahihi za kutupeleka kuwa nchi ya ahadi.

Wakati Tanzania yenye utajiri wa gesi kiasi cha ujazo wa trilioni 57 ikiendelea kuagiza mafuta kutoka nje tena kwa fedha za kigeni ili kutumia kwenye magari yake na viwanda, Nigeria wameona watumie akili zao vizuri kwa kuagiza magari nchini humo kubadilishwa mfumo kutoka petrol kwenda kwenye gesi ambayo inapatikana kwa wingi kwao ili kuondoa utegemezi wa kuagiza mafuta kutoka nje na kuokoa fedha za kigeni.

Naionea huruma sana Tanzania yangu. Sijui lini tutapata Viongozi wenye akili watutoe hapa tulipo.

Yaani pamoja na kugundua gesi yote hiyo hadi leo kwa Dar tu tuna vituo vya kujaza gesi magari vizivyozidi 4. Alafu Viongozi wetu hawa kila siku wanatembeza bakuli kuomba fedha za miradi ya maendeleo nchini kwetu wakati tungeweza kuokoa fedha nyingi sana tunazotumia kuagiza mafuta kwa kutumia gesi yetu hii kwenye magari na viwanda.

Kweli bongo nyoso.

Screenshot_20241109_235427_Chrome.jpg
 
Kama reli Tu tumejenga wenyewe halafu tunalialia tunahujumiwa huku Serikali ikimiliki vyombo vyote vya dola tunaweza kuwa na fikra hizo.

Tumeamua kuwa madalali wa uchumi wa races nyingine huku ndugu zetu wakifa masikini ilihali tunaweza kuwafanya Watanzania wote kuwa na uchumi mzuri kupitia resources hizi hizi tulizonazo.
 
Kila siku nasema.

Tatizo letu Tanzania sio uwepo wa rasilimali bali ni kuwa na watu wenye akili sahihi za kutupeleka kuwa nchi ya ahadi.

Wakati Tanzania yenye utajiri wa gesi kiasi cha ujazo wa trilioni 57 ikiendelea kuagiza mafuta kutoka nje tena kwa fedha za kigeni ili kutumia kwenye magari yake na viwanda, Nigeria wameona watumie akili zao vizuri kwa kuagiza magari nchini humo kubadilishwa mfumo kutoka petrol kwenda kwenye gesi ambayo inapatikana kwa wingi kwao ili kuondoa utegemezi wa kuagiza mafuta kutoka nje na kuokoa fedha za kigeni.

Naionea huruma sana Tanzania yangu. Sijui lini tutapata Viongozi wenye akili watutoe hapa tulipo.

Yaani pamoja na kugundua gesi yote hiyo hadi leo kwa Dar tu tuna vituo vya kujaza gesi magari vizivyozidi 4. Alafu Viongozi wetu hawa kila siku wanatembeza bakuli kuomba fedha za miradi ya maendeleo nchini kwetu wakati tungeweza kuokoa fedha nyingi sana tunazotumia kuagiza mafuta kwa kutumia gesi yetu hii kwenye magari na viwanda.

Kweli bongo nyoso.
View attachment 3148156
Binadamu hana jema, unafikiri utaratibu huo ukiwekwa, utakuja tena mbele yetu kulalamika, kuwa mnafosiwa vyombo vyenu vya moto kuwekewa gesi.
Tubadilike, kama unaweza Fungua vituo vingine vya Gesi.
Serikali haitaweza kufanya biashara zote, zile za muhimu zipo na twaona Maendeleo ya Nchi hii Chini ya Chama Cha Mapinduzi na Mwenyekiti wake Mama Samia Suluhu Hassan.
 
Kila siku nasema.

Tatizo letu Tanzania sio uwepo wa rasilimali bali ni kuwa na watu wenye akili sahihi za kutupeleka kuwa nchi ya ahadi.

Wakati Tanzania yenye utajiri wa gesi kiasi cha ujazo wa trilioni 57 ikiendelea kuagiza mafuta kutoka nje tena kwa fedha za kigeni ili kutumia kwenye magari yake na viwanda, Nigeria wameona watumie akili zao vizuri kwa kuagiza magari nchini humo kubadilishwa mfumo kutoka petrol kwenda kwenye gesi ambayo inapatikana kwa wingi kwao ili kuondoa utegemezi wa kuagiza mafuta kutoka nje na kuokoa fedha za kigeni.

Naionea huruma sana Tanzania yangu. Sijui lini tutapata Viongozi wenye akili watutoe hapa tulipo.

Yaani pamoja na kugundua gesi yote hiyo hadi leo kwa Dar tu tuna vituo vya kujaza gesi magari vizivyozidi 4. Alafu Viongozi wetu hawa kila siku wanatembeza bakuli kuomba fedha za miradi ya maendeleo nchini kwetu wakati tungeweza kuokoa fedha nyingi sana tunazotumia kuagiza mafuta kwa kutumia gesi yetu hii kwenye magari na viwanda.

Kweli bongo nyoso.
View attachment 3148156
Jitahidi nawe uwe unafuatilia mambo kwa ukaribu bas,

Mbona Tz pia magari, bahaji n.k yanatumia mfumo gas vizuri tu gentleman 🐒
 
Katika pilikapilika za kuwahi toilet ili usichafue mazingira ya room ukajikuta umetoka nje na kindoo cha maji mkononi ukasahau kufunga mlango yaan ukasahau lilipo ghetto lako ndio njia ya wahuni kilichofuata baada ya wewe kurudi kukata kimba ulifurahi maana ulikuta wahuni wamekufurahisha na mlango wakakusaidia kufunga kisha funguo wakaondoka nazo kifuatacho utajua wewe aidha uchomoe kitasa au ubomoe mlango
 
Inaendelea...

Wahuni walipofika na kukuta umeuacha mlango wazi wakati ukiwa choo cha nje huko unaachia mashuzi makali wakajua tu kinachoendelea kwa hio hawakupoteza muda waliingia ndani wakaanza kuchomoa kitu kimoja kimoja muda huo wewe upo chooni huko tumbo la kuhala limekushika unaachia mashuzi mfululizo unajamba na kujamba km umelishwa samaki vibudu wahuni wakaenda kuchukua tolori wakaweka TV, Fridge wakafagia mpaka Bodaboda yako na walipomaliza wahuni kwa sababu ulisahau kuufunga mlango wakakusaidia kufunga na funguo wakaenda nazo uliporudi kutoka kunya ulifurahi ulichokikuta
 
Kila siku nasema.

Tatizo letu Tanzania sio uwepo wa rasilimali bali ni kuwa na watu wenye akili sahihi za kutupeleka kuwa nchi ya ahadi.

Wakati Tanzania yenye utajiri wa gesi kiasi cha ujazo wa trilioni 57 ikiendelea kuagiza mafuta kutoka nje tena kwa fedha za kigeni ili kutumia kwenye magari yake na viwanda, Nigeria wameona watumie akili zao vizuri kwa kuagiza magari nchini humo kubadilishwa mfumo kutoka petrol kwenda kwenye gesi ambayo inapatikana kwa wingi kwao ili kuondoa utegemezi wa kuagiza mafuta kutoka nje na kuokoa fedha za kigeni.

Naionea huruma sana Tanzania yangu. Sijui lini tutapata Viongozi wenye akili watutoe hapa tulipo.

Yaani pamoja na kugundua gesi yote hiyo hadi leo kwa Dar tu tuna vituo vya kujaza gesi magari vizivyozidi 4. Alafu Viongozi wetu hawa kila siku wanatembeza bakuli kuomba fedha za miradi ya maendeleo nchini kwetu wakati tungeweza kuokoa fedha nyingi sana tunazotumia kuagiza mafuta kwa kutumia gesi yetu hii kwenye magari na viwanda.

Kweli bongo nyoso.
View attachment 3148156
Hii ndio bongo, hawataki kukuza kilimo cha sukari, kitakachowanufsisha wananchi, wakakua kiuchumi, na kuwa kama Lisa, na kuanza kuisumbua ccm, Bora kuendelea kuagiza nje!
 
Inaendelea...

Umerudi toka kukata kimba mtu wetu ukiwa na kindoo chako mkono na umechoka kwa shughuli pevu ya kukata kimba na kushusha mashuzi mfululizo unacheck mlango wako unaona mlango umefungwa lakini katika kumbukumbu zako za awali zinakwambia kwamba wakati ukiwa kwenye harakati za kuwahi kukata kimba mlango haukuufunga uliuacha wazi hapo ulipo kiunoni umejifunga kitaulo tu ndani huna hata boxer ila wahuni wameweza kukufurahisha ukacheck dirishani chumba chako ni km umeletwa na dalali kuja kuhamia upya wahuni wametembelea kila kitu mpaka jiko la gesi wamekomba
 
Kila siku nasema.

Tatizo letu Tanzania sio uwepo wa rasilimali bali ni kuwa na watu wenye akili sahihi za kutupeleka kuwa nchi ya ahadi.

Wakati Tanzania yenye utajiri wa gesi kiasi cha ujazo wa trilioni 57 ikiendelea kuagiza mafuta kutoka nje tena kwa fedha za kigeni ili kutumia kwenye magari yake na viwanda, Nigeria wameona watumie akili zao vizuri kwa kuagiza magari nchini humo kubadilishwa mfumo kutoka petrol kwenda kwenye gesi ambayo inapatikana kwa wingi kwao ili kuondoa utegemezi wa kuagiza mafuta kutoka nje na kuokoa fedha za kigeni.

Naionea huruma sana Tanzania yangu. Sijui lini tutapata Viongozi wenye akili watutoe hapa tulipo.

Yaani pamoja na kugundua gesi yote hiyo hadi leo kwa Dar tu tuna vituo vya kujaza gesi magari vizivyozidi 4. Alafu Viongozi wetu hawa kila siku wanatembeza bakuli kuomba fedha za miradi ya maendeleo nchini kwetu wakati tungeweza kuokoa fedha nyingi sana tunazotumia kuagiza mafuta kwa kutumia gesi yetu hii kwenye magari na viwanda.

Kweli bongo nyoso.
View attachment 3148156
Naunga mkono hoja, Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!

Hili la gesi asili, angalia nilianza nalo lini, Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
P
 
Inaendelea...

Ikabidi ukae chini huku kindoo umekisogeza pembeni ukiwa hujakaa sawa tumbo limeita tena maana yake inabidi uwahi kwenda kushusha tena kifurushi kingine cha data
 
Yaani pamoja na kugundua gesi yote hiyo hadi leo kwa Dar tu tuna vituo vya kujaza gesi magari vizivyozidi 4. Alafu Viongozi wetu hawa kila siku wanatembeza bakuli kuomba fedha za miradi ya maendeleo nchini kwetu wakati tungeweza kuokoa fedha nyingi sana tunazotumia kuagiza mafuta kwa kutumia gesi yetu hii kwenye magari na viwanda.
Nadhani Lake oil ndiyo inaminya mengine yasiwezekane
 
Nadhani Lake oil ndiyo inaminya mengine yasiwezekane
Inaendelea...

Ikabidi ubebe tena kindoo uwahi toilet unakumbuka kindoo hakina maji na maji yamefungiwa na funguo hauna lahaula sijui utafanyaje hapo unawaza unasema acha ukashushe kwanza kifurushi kisha utafikiria huko huko jinsi ya kufanya unatoka uwahi toilet unakuta tayari choo kiko occupied yaan kuna mdau alishaweka booking na sasa kakalia siti
 
Kila siku nasema.

Tatizo letu Tanzania sio uwepo wa rasilimali bali ni kuwa na watu wenye akili sahihi za kutupeleka kuwa nchi ya ahadi.

Wakati Tanzania yenye utajiri wa gesi kiasi cha ujazo wa trilioni 57 ikiendelea kuagiza mafuta kutoka nje tena kwa fedha za kigeni ili kutumia kwenye magari yake na viwanda, Nigeria wameona watumie akili zao vizuri kwa kuagiza magari nchini humo kubadilishwa mfumo kutoka petrol kwenda kwenye gesi ambayo inapatikana kwa wingi kwao ili kuondoa utegemezi wa kuagiza mafuta kutoka nje na kuokoa fedha za kigeni.

Naionea huruma sana Tanzania yangu. Sijui lini tutapata Viongozi wenye akili watutoe hapa tulipo.

Yaani pamoja na kugundua gesi yote hiyo hadi leo kwa Dar tu tuna vituo vya kujaza gesi magari vizivyozidi 4. Alafu Viongozi wetu hawa kila siku wanatembeza bakuli kuomba fedha za miradi ya maendeleo nchini kwetu wakati tungeweza kuokoa fedha nyingi sana tunazotumia kuagiza mafuta kwa kutumia gesi yetu hii kwenye magari na viwanda.

Kweli bongo nyoso.
View attachment 3148156
Lengo la Ahmad tunubu ni kuua kiwanda cha Fangote oil refinery cha billion 20.
 
Fikiria kila siku, kila mahali vituo vya mafuta vinajengwa. Hiyo gesi utaikuta wapi?
Inaendelea...

Wakati unaendelea kusimamia mlango na kutamani alie ndani atoke ili uwahi kushusha mzigo mara huko nyuma mzigo mzito umeita mzigo ukabisha hodi na wewe sasa kwa uchovu na wenge la kukaza sura ukajikuta unaitikia kwa sauti kubwa ya ushuzi usijue kwamba ule ushuzi umeambatana na makimba kujiangalia vizuri unagundua umejinyea
 
Lengo la Ahmad tunubu ni kuua kiwanda cha Fangote oil refinery cha billion 20.
Inaendelea...

Lahaula ukagundua umejichafua mpaka kitaulo chako ikabidi utoke mdogo mdogo mpaka chumba cha jirani kuomba msaada maana hakuna namna jirani yako ni km ndugu yako unapopatwa na shida za usiku wa manane jirani yako ndio wa kwanza kukusaidia
 
Kila siku nasema.

Tatizo letu Tanzania sio uwepo wa rasilimali bali ni kuwa na watu wenye akili sahihi za kutupeleka kuwa nchi ya ahadi.

Wakati Tanzania yenye utajiri wa gesi kiasi cha ujazo wa trilioni 57 ikiendelea kuagiza mafuta kutoka nje tena kwa fedha za kigeni ili kutumia kwenye magari yake na viwanda, Nigeria wameona watumie akili zao vizuri kwa kuagiza magari nchini humo kubadilishwa mfumo kutoka petrol kwenda kwenye gesi ambayo inapatikana kwa wingi kwao ili kuondoa utegemezi wa kuagiza mafuta kutoka nje na kuokoa fedha za kigeni.

Naionea huruma sana Tanzania yangu. Sijui lini tutapata Viongozi wenye akili watutoe hapa tulipo.

Yaani pamoja na kugundua gesi yote hiyo hadi leo kwa Dar tu tuna vituo vya kujaza gesi magari vizivyozidi 4. Alafu Viongozi wetu hawa kila siku wanatembeza bakuli kuomba fedha za miradi ya maendeleo nchini kwetu wakati tungeweza kuokoa fedha nyingi sana tunazotumia kuagiza mafuta kwa kutumia gesi yetu hii kwenye magari na viwanda.

Kweli bongo nyoso.
View attachment 3148156
Tatizo ni fisadi ROSTAM AZIZI bei ya gesi ipo juu mara mbili ya inavyo stahili ...kama ingekuwa chini basi bila hata ya serikali kuangiza magari kutumia gesi kungetokea mfumuko wa matumizi ya gesi kwenye kila mashine yakiwemo magari ....hata bei ya umeme ilitakiwa kushuka kama ingeshuka kwa sh 1000 units 4.8 basi hata bei ya gesi ingeshuka na uchumi ungeimalika sana mfuko wa bei ungeshuka na thamani ya pesa yetu ingepanda sana ....tatizo tulilo nalo ni kuongozwa na MWANAMKE siku zote mwanamke hana akili ya kuongoza watu bali kuongozwa tu
 
Back
Top Bottom