babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Wakuu niwakumbushe wana 5imba ya kuwa washangilie ushindi ila wasisahau hii robo fainali waliyoingia leo ndio huwa hatua yao ya mwisho.
Yaani hata walipoanzia robo kwenye African Football League waliishia hapo hapo robo.
Hongereni sana Mwakarobo kwa kupiga bomu mochwari
Yaani hata walipoanzia robo kwenye African Football League waliishia hapo hapo robo.
Hongereni sana Mwakarobo kwa kupiga bomu mochwari