crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Watoto wa kiume katika media na mitandao hapa Bongo kusifia au kukandia kazi za wanaume wenzao.
Haiji akilini kabisa mwanaume kabisa na madevu yake, mume wa mtu, yeye kila siku yupo bize kumsema na kukusoa juhudi za mwanaume mwenzake. Wana maana gani hawa kwenye jamii zetu? Si suala lilelile tu? Yanajiita machawa sijui
Nijuavyo moja kati ya sababu watu hawataki haya mambo ya ushoga ni ku-consolidate tabia za kiume miongoni mwa vijana wa kiume katika jamii zetu, sasa ni tabia gani wanatuonesha baadhi ya hawa wanaume katika media na mitandao hapa nchini?
Hivi wanajisikiaje wake zao hawa watu? Wanajiona wana waume kweli? Yaani mumeo anapata ugali wake kwa kuchamba wanaume wenzie ambao hawajamkosea chochote? Hapana aisee inatia aibu hii.halafu ni Bongo tu haya mambo.
Jamii kila siku inapiga kelele masuala ya ushoga lakini imekumbatia watu kama hawa maana yake nini?
Hili nalo tulitazame aisee.
Haiji akilini kabisa mwanaume kabisa na madevu yake, mume wa mtu, yeye kila siku yupo bize kumsema na kukusoa juhudi za mwanaume mwenzake. Wana maana gani hawa kwenye jamii zetu? Si suala lilelile tu? Yanajiita machawa sijui
Nijuavyo moja kati ya sababu watu hawataki haya mambo ya ushoga ni ku-consolidate tabia za kiume miongoni mwa vijana wa kiume katika jamii zetu, sasa ni tabia gani wanatuonesha baadhi ya hawa wanaume katika media na mitandao hapa nchini?
Hivi wanajisikiaje wake zao hawa watu? Wanajiona wana waume kweli? Yaani mumeo anapata ugali wake kwa kuchamba wanaume wenzie ambao hawajamkosea chochote? Hapana aisee inatia aibu hii.halafu ni Bongo tu haya mambo.
Jamii kila siku inapiga kelele masuala ya ushoga lakini imekumbatia watu kama hawa maana yake nini?
Hili nalo tulitazame aisee.