Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kuna hisia nazipata hasa baada ya DP World kufunga message huko instagram. Watanzania wamekuwa wakionesha hisia zao kuhusu kutokubaliana na mkataba wa kubinafsisha bandari kwa muda usio na kikomo. Wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii kudhihirisha hisia hizo.
Sasa hofu yangu kwa sasa ni juu ya suala zima la kuzimwa kwa mtandao (internet) Sijui itakuwaje? Tunasaidiane ndugu!
Nakumbuka 2020 tulitumia vpn pale walipozima mtandao; japo wengi walikosa mawasaliano.
Watanganyika kwa sasa tunapitia changamoto ya kutaka kulinda rasilimali zetu ambazo tumepata kwa kudra za Mungu.
Je, tuendelee kunyamaza tusihoji?
Je, tuishi tu kama tusiojua jema na baya? Nini kifanyike?
NB: nimetafakari hili baada ya kumsikia mwanaharakati mmoja akilalamika kupata taabu kuendesha space huko twiter. Aidha huku nilipo pia mtandao upo chini na wakati mwingine unapotea kabisa jambo ambalo si la kawaida sana!
Pia soma>> Watanzania wamefungiwa internet
Sasa hofu yangu kwa sasa ni juu ya suala zima la kuzimwa kwa mtandao (internet) Sijui itakuwaje? Tunasaidiane ndugu!
Nakumbuka 2020 tulitumia vpn pale walipozima mtandao; japo wengi walikosa mawasaliano.
Watanganyika kwa sasa tunapitia changamoto ya kutaka kulinda rasilimali zetu ambazo tumepata kwa kudra za Mungu.
Je, tuendelee kunyamaza tusihoji?
Je, tuishi tu kama tusiojua jema na baya? Nini kifanyike?
NB: nimetafakari hili baada ya kumsikia mwanaharakati mmoja akilalamika kupata taabu kuendesha space huko twiter. Aidha huku nilipo pia mtandao upo chini na wakati mwingine unapotea kabisa jambo ambalo si la kawaida sana!
Pia soma>> Watanzania wamefungiwa internet