Wakati tunaomba Serikali iangalie kilio cha tozo zilizopitishwa na Bunge, tuanze kupiga kelele na makato yanayotozwa na Makapuni ya Simu

Wakati tunaomba Serikali iangalie kilio cha tozo zilizopitishwa na Bunge, tuanze kupiga kelele na makato yanayotozwa na Makapuni ya Simu

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
2,255
Reaction score
1,565
Watu wengi wamekuwa wakichukua gharama zote za kutuma au kutoa fedha kwenye miamala ya simu kama ndio tozo. Ukweli ni kwamba makampuni ya simu yamekuwa yakitoza ada kubwa saana kwenye kutoa au kutuma fedha.

Kwa mfano kuna baadhi ya kampuni ukituma fedha kiasi cha shilingi 5,000/= jumla ya makato ni shilingi 240/= lakini ada ya kampuni ni shilingi 180/= na tozo ni shilingi 60/=. Kwa watu wengi imekuwa ikionekana au kuchukuliwa kama jumla ya makato ndio tozo, hii si kweli.

Wakati tukiendelea kulisemea la tozo, basi ni muhimu saana hizi kampuni za simu zikaangalia ada zao hasa wakati huu ambao uchumi wa dunia umeyumba.

Serikali ya awamu ya sita ni ya Wananchi, na jicho la Serikali ni kali na linamulika hata gizani
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya usiku na mchana bila kupumzika
 
Uzi unaoendeleza uoga na unafiki wetu eti Tuiombe serikali na tulalamike kwa kupiga kelele makampuni ya simu, maana makampuni haya ni soft targets!,tuendelee kuisoma namba..ccm tumeichagua wenyewe na ni mbele kwa mbele!!!
 
Uzi unaoendeleza uoga na unafiki wetu eti Tuiombe serikali na tulalamike kwa kupiga kelele makampuni ya simu, maana makampuni haya ni soft targets!,tuendelee kuisoma namba..ccm tumeichagua wenyewe na ni mbele kwa mbele!!!
Tozo zilipitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkuu Nkanini haya mambo yakishakuwa ni sheria na kama yalikosewa kuna umuhimu wa kuwawajibisha Wabunge wetu
 
Watu wengi wamekuwa wakichukua gharama zote za kutuma au kutoa fedha kwenye miamala ya simu kama ndio tozo. Ukweli ni kwamba makampuni ya simu yamekuwa yakitoza ada kubwa saana kwenye kutoa au kutuma fedha.

Kwa mfano kuna baadhi ya kampuni ukituma fedha kiasi cha shilingi 5,000/= jumla ya makato ni shilingi 240/= lakini ada ya kampuni ni shilingi 180/= na tozo ni shilingi 60/=. Kwa watu wengi imekuwa ikionekana au kuchukuliwa kama jumla ya makato ndio tozo, hii si kweli.

Wakati tukiendelea kulisemea la tozo, basi ni muhimu saana hizi kampuni za simu zikaangalia ada zao hasa wakati huu ambao uchumi wa dunia umeyumba.

Serikali ya awamu ya sita ni ya Wananchi, na jicho la Serikali ni kali na linamulika hata gizani
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya usiku na mchana bila kupumzika
Saivi Mwigulu anaandaa Tozo ya Kichwa kwa kila mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea..
 
Tozo ni za kihuni tu, haijalishi ni sheria au blaah blaah! Waseme tozo zinaenda kwenye account gani kwanza?
 
Tozo ni za kihuni tu, haijalishi ni sheria au blaah blaah! Waseme tozo zinaenda kwenye account

You mean Mwigulu Nchemba alidanganya, maana aliwasilisha hiyo taarifa Bungeni.. Na wale wabunge wanaopitisha kila kitu unawajua vizuri?
Ni kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi..

Soma hapa:
Mkuu mbona hili aliweka sawa, alisema kila Mtanzania mwenye umri kuanzia miaka 18 ni vizuri akawa na TIN lakini wanaotakiwa kulipa kodi ni wale tu kwa mujibu wa Sheria, taratibu na kanuni zimekutambua kuwa unatakiwa kulipa kodi kama unaingiza kipato
 
Watu wengi wamekuwa wakichukua gharama zote za kutuma au kutoa fedha kwenye miamala ya simu kama ndio tozo. Ukweli ni kwamba makampuni ya simu yamekuwa yakitoza ada kubwa saana kwenye kutoa au kutuma fedha.

Kwa mfano kuna baadhi ya kampuni ukituma fedha kiasi cha shilingi 5,000/= jumla ya makato ni shilingi 240/= lakini ada ya kampuni ni shilingi 180/= na tozo ni shilingi 60/=. Kwa watu wengi imekuwa ikionekana au kuchukuliwa kama jumla ya makato ndio tozo, hii si kweli.

Wakati tukiendelea kulisemea la tozo, basi ni muhimu saana hizi kampuni za simu zikaangalia ada zao hasa wakati huu ambao uchumi wa dunia umeyumba.

Serikali ya awamu ya sita ni ya Wananchi, na jicho la Serikali ni kali na linamulika hata gizani
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya usiku na mchana bila kupumzika
Unajaribu kutuona wajinga kwamba hatujui tofauti ya tozo na gharama za kutuma na kutoa miamala? Hili la miamala ya simu tulilipigia kelele na wakapunguza tozo kimya kimya. Tunachokisema Sasa si tozo kuwa kubwa tu, Bali ni tozo yenyewe kwenye akaunti ya Benki Kwa kazi ambayo serikali haifanyi chochote lakini pia ni hela ambayo imeshakatwa Kodi. Mfano mshahara wa mtumishi unakatwa PAYE na Hazina kabla haujawekwa kwenye akaunti, ukiingia wakati wa kutoa Benki wanakata gharama za huduma, Sawa. Lakini eti serikali nayo inaiambia Benki ikate tena gharama za muamala Kwa niaba ya serikali. Huu ndo uhuni tunaomwambia Mwigulu hatuutaki na akiendelea hata yeye hatumtaki na mama akimlinda hata yeye hatutamtaka tena.
 
Huu ndo uhuni tunaomwambia Mwigulu hatuutaki na akiendelea hata yeye hatumtaki na mama akimlinda hata yeye hatutamtaka tena
Hii kauli ya "...hatumtaki" inawezekana tu kama sanduku la kura linaheshimiwa, Ila siyo kwa hii NEC ya akina Mahela
 
Watu wengi wamekuwa wakichukua gharama zote za kutuma au kutoa fedha kwenye miamala ya simu kama ndio tozo. Ukweli ni kwamba makampuni ya simu yamekuwa yakitoza ada kubwa saana kwenye kutoa au kutuma fedha.

Kwa mfano kuna baadhi ya kampuni ukituma fedha kiasi cha shilingi 5,000/= jumla ya makato ni shilingi 240/= lakini ada ya kampuni ni shilingi 180/= na tozo ni shilingi 60/=. Kwa watu wengi imekuwa ikionekana au kuchukuliwa kama jumla ya makato ndio tozo, hii si kweli.

Wakati tukiendelea kulisemea la tozo, basi ni muhimu saana hizi kampuni za simu zikaangalia ada zao hasa wakati huu ambao uchumi wa dunia umeyumba.

Serikali ya awamu ya sita ni ya Wananchi, na jicho la Serikali ni kali na linamulika hata gizani
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya usiku na mchana bila kupumzika
Uwe unasumbua kichwa chako hata kidogo. Katika makato ya kampuni za simu kuna kodi ya Serikali na wakati huohuo wakatuletea tozo! Kwa maana nyingine serikali inakula kotekote, hiyo si sawa.
 
Uwe unasumbua kichwa chako hata kidogo. Katika makato ya kampuni za simu kuna kodi ya Serikali na wakati huohuo wakatuletea tozo! Kwa maana nyingine serikali inakula kotekote, hiyo si sawa.
tracebongo so point yako ni nini? unataka Serikali ichukue kwa Wananchi tu?
 
Unajaribu kutuona wajinga kwamba hatujui tofauti ya tozo na gharama za kutuma na kutoa miamala? Hili la miamala ya simu tulilipigia kelele na wakapunguza tozo kimya kimya. Tunachokisema Sasa si tozo kuwa kubwa tu, Bali ni tozo yenyewe kwenye akaunti ya Benki Kwa kazi ambayo serikali haifanyi chochote lakini pia ni hela ambayo imeshakatwa Kodi. Mfano mshahara wa mtumishi unakatwa PAYE na Hazina kabla haujawekwa kwenye akaunti, ukiingia wakati wa kutoa Benki wanakata gharama za huduma, Sawa. Lakini eti serikali nayo inaiambia Benki ikate tena gharama za muamala Kwa niaba ya serikali. Huu ndo uhuni tunaomwambia Mwigulu hatuutaki na akiendelea hata yeye hatumtaki na mama akimlinda hata yeye hatutamtaka tena.
Bila bila hakuna anayejaribu kukuona mjinga , mawazo yangu bado naamini kuwa makato yanayokatwa na kampuni za simu bado yako juu despite kuwa walipunguza. Imani yangu ni kuwa Serikali inasikia mawazo ya watu, lakini jambo hili lilipitishwa na Bunge na kama litakuwa na shida Serikali ipo na pale itakapoona inafaa itafanya kinachotakiwa kufanya, lakini kwa sasa Jambo hili lipo kwa mujibu wa sheria.
 
Back
Top Bottom