Wakati Uganda imeshaanza ujenzi wa Barabara ya Kampala-Jinja kwa PPP. Huku Tanzania Kafulila hakuna mradi hata mmoja anaoutekeleza

Leo tungekuwa jirani ningekupa ofa unywe beer na Kuku choma Kwa bill yangu

Laiti ingekuwa Kila Mwana CCM anapata nafasi ya kusema ukweli kama wewe, hii Nchi tungepiga hatua

Tatizo Bwana David Kafulila ametanguliza Machawa hapa JF wamsifie Kwa Kila kitu

Kila Siku anakuja na porojo tu, alisema Ujenzi wa barabara za kulipia kutoka DSM hadi Morogoro, lakini huu ni Mwaka 4 hakuna Utekelezaji

Ametaja miradi mingine ya Nishati, Miundombinu lakini yote ni Utapeli tupu 🙌
 
Kipindi hiki nicha Chawacracy na Tumbocracy,porojo kwa kila kitu.

Swali nje ya mada ChoiceVariable naomba taarifa ya mradi wa barabara ya kutoka Namanyere mpaka kirando,ambao utakuwa wa rami.
Ulielezwa umeanza ujenzi lini na nani?

Lami za maana hazijakamilika ndio one kuwa huko maporini?
 
Kafulila ni zero result oriented person, kazi yake ni kupiga makelele kwenye TV na mitandaoni na kusifia sifia kwa data zake sijui anatoa wapi, mara data za IMF, WB mara sijui nani, ila ukimuuliza show me one physical project iliyokamilika au inayoendelea kwa PPP tokea ameteuliwa, hakuna kitu, kazi yake kuwa na majina mengi hadi humu JF kutoa data tu, mara sijui wangapi wamewekeza, mara sijui toka ngapi hadi ngapi, but hakuna kitu kinaonekana..

Siku sio nyingi Mh. Rais atajua Kafulila ni mtu wa porojo sana na atamfukuza kwa kalamu nyekundu haraka sana.
 
Ka barabara kenyewe kabayaaaa! Mbona Kafulila alitutangazia kwamba pale Kariakoo kuna jengo la hatari kuzidi Mlimani city linajengwa kwa PPP? Au ulikuwa haupo mkuu? Heshima kwa Kafulila! Mnaokabeza ka Tumbiri piteni hapa mkasikilize wenyewe!
Your browser is not able to display this video.
 
Tumbiri aje ajibu hizi hoja hapa si alikuwaga member wa JF?
 
Jengo na Barabara kipi ni worthwhile?
 
Huyo mhangaza anatafuta kick tu. Kajaza ID feki humu za kumsemea yeye Kila siku. Akili zenyewe ndo zile zile
 
Kafulila ni mpiga domo kama mwijaku tu
 
Huyo mhangaza anatafuta kick tu. Kajaza ID feki humu za kumsemea yeye Kila siku. Akili zenyewe ndo zile zile
Hata Mimi nilikuwa nashangaa inakuaje mtu mpuuzi kama kafulila anatajwa tanjwa humu jf bila sababu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…