Ngeli[emoji16]Kwa lugha gani?
Yule Joti hawezi Ngeli, na wabunge wenyewe kina Babu Tale na Musukuma.Ngeli[emoji16]
[emoji28][emoji28]kuna siku alihutubia bunge la USA, alitumia lugha gani?Yule Joti hawezi Ngeli, na wabunge wenyewe kina Babu Tale na Musukuma.
Huwa wanakuepo wakalimani, sasa huku kwetu wakalimani wamezoea mambo ya utalii sio siasa, tena siasa za kivita...[emoji28][emoji28]kuna siku alihutubia bunge la USA, alitumia lugha gani?