Wakati umefika bunge letu kumwalika Rais wa Ukraine kulihutubia kwa njia ya video link

Mmsamehe tu mleta hoja ndiio akili yake ilipoishia, kumiliki Tecno old model speed 2g hata picha haoni anajikuta great thinker
 
Yeye akajadiliane na putin kwenye ile meza yake ambayo ina ukubwa sawasawa na uwanja wa mpira.
 
Kwanini?
Huyu reckless comedian ataleta uhasama kati ya Tanzania na Russia na kitu ambacho unatakiwa kuheshimu kwa usalama wa taifa.
 
Sisi ni neutral, mambo yao tumewaachia wenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…