Mzee Mchopu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,031
- 268
Wasalaam
Ndugu wana jamvi kwa maoni yangu
Imefikia wakati wabunge wa ukawa wapiganie muungano wa vyama utambulike kisheria na kupatikana kwa tume huru na matokeo ya uraisi yaweze kuhojiwa mahakamani
Hii si tu pekee itawezesha kukuza demokrasia
Na kuondoa manung'uniko kwa kiwango kikubwa
NATUMAI
Tumain Makene upo
Jussa ismail
Heche john
Patrobas katabi
Mkosamali
Kafulila david
Mnayaona haya na Mtayafanyia kazi
NAWASILISHA
Ndugu wana jamvi kwa maoni yangu
Imefikia wakati wabunge wa ukawa wapiganie muungano wa vyama utambulike kisheria na kupatikana kwa tume huru na matokeo ya uraisi yaweze kuhojiwa mahakamani
Hii si tu pekee itawezesha kukuza demokrasia
Na kuondoa manung'uniko kwa kiwango kikubwa
NATUMAI
Tumain Makene upo
Jussa ismail
Heche john
Patrobas katabi
Mkosamali
Kafulila david
Mnayaona haya na Mtayafanyia kazi
NAWASILISHA