Asante sana mkuuMtoa mada unaonekana n jinsi gani ulivyokua mnafiki in short n kwamba watu kama nyie ndo mnaokuja sababisha wengine watimuliwe hata kazini.Yan mtoto wa kiume unakua na tabia za Uchonganishi kama Mawifi?
Infact hata mm nlikua na washikaji zangu walikua wana tabia kama zako za kusnicth na kuchonganisha watu nlipowajua tu wotee Nikawafyekeeeeleeeaaa Mbali!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni zezetaWe mkuu akili yako sijui hata ikoje mi huwa sikuelewi kabisa mkuu Kama zezeta hivi yaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona bado sijaona alienishambulia?Jamaa alijua atapata sapoti kwa ujinga wake cha ajabu kaishia kushambuliwa vibaya mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kiukweli mimi na washkaji zangu tulikua mafala sana, sisi ni nguruwe kama unavyosemaKiukweli hata mimi ningembutua tabia za kishoga anakuja kujisifia hapa mpuuzi sana.
Kwahiyo wewe na mafala wenzako mkawa mnajiona wajanja? Nguruwe
Sijaona mashambulizi badoMbona wanaume mnamshambulia mtoa mada as if huyo Jose alikuwa anafanya sawa, mimi naona walifanya kazi nzuri ya kumuumbua mnafiki....hayo ndio yalikuwa malipo ya ushenzi aliokuwa anafanya
Hapo ulikua unaishi na vibakaNilikuwa wa kwanza kufika room kwetu kwa hiyo kama siku tatu nilikaa peke yangu. Siku hiyo ilikuwa jumapili nimetoka kanisani nikawa napitia pitia niliyojifunza siku hiyo huku simu yangu nimeweka chaji. Si pale kitandani nikapitiwa usingizi nakuja kushtuka baadae tayari ni usiku kama saa mbili naangalia simu kwenye chaji haipo, nikasikitika pale wee nikasema anyway imeshatokea ngoja nishuke chini kula natafuta pochi niliyokuwa nimebeba kanisani haipo, imebebwa, bahati mbaya na wallet yenye pesa vitambulisho nayo niliweka humo, yule mwizi alikuwa mshenzi yaani aliniachia begi la nguo tu hadi Bible alienda nayo.
Umeandika gazeti nimeishia kati katiMkuu mtoa mada naomba unisamehe Sana kwa haya machache.. Ila mtoto matako Sana wewe. Nimesoma Uzi wako mpaka Nimetamani ungekua karibu ningekupa kelbu moja Matata Sana. Kama huvuti bangi Basi utakua mlevi na Kama vyote hutumii kawaulize wazazi wako Kati yao Nani ana asili ya uchawi.
Sisi tumepitia Maisha ya Chuo na tumefanya mengi Ila kwa huo upumbavu wenu Wala sio vitu vya kujivunia mpaka kuandika Jf, MODS naomba muondoe huu Uzi.. Kaka wa watu angekufa ndo mngefurahi? Huwezi jua kwann alikua anampondea yule Dada (Insecurities kwa Vijana wa kiume hasa wakiwa na wenzao kuonyesha Ni namna gani alivo shababi) Ila deep inside unakuta ndo chaguo lake.. the way ulivyo andika Ni Kama you are proud kwa kile mlichofanya, sikufichi Kama ningekua nawafahamu au yule Jamaa namjua, ningeinunua hiyo kesi alafu we na kundi lako Ningewafanyia venye mashoga wanapaswa wafanyiwe.. I hate people that hurt other people bila sababu.. Futa huu Uzi mdogo angu Mapema Sana!
Niliokuwa naishi nao hawakuwepo
Jamani Babe wangu aliibiwa polee,Nilikuwa wa kwanza kufika room kwetu kwa hiyo kama siku tatu nilikaa peke yangu. Siku hiyo ilikuwa jumapili nimetoka kanisani nikawa napitia pitia niliyojifunza siku hiyo huku simu yangu nimeweka chaji. Si pale kitandani nikapitiwa usingizi nakuja kushtuka baadae tayari ni usiku kama saa mbili naangalia simu kwenye chaji haipo, nikasikitika pale wee nikasema anyway imeshatokea ngoja nishuke chini kula natafuta pochi niliyokuwa nimebeba kanisani haipo, imebebwa, bahati mbaya na wallet yenye pesa vitambulisho nayo niliweka humo, yule mwizi alikuwa mshenzi yaani aliniachia begi la nguo tu hadi Bible alienda nayo.
PoaSikuusoma huu Uzi ila kutokana na mashambulizi ya wanazengo imenibidi niusome.