Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
maswala ya debate katika mashule ni njia moja wapo zuri sana yenye kujengea confidence kubwa ya kuongea mbele ya watu wengi bila uonga wowote, vile vile debate ni njia moja wapo zuri inayokuongezea uwezo wa kufahamu vizuri lugha ya kingereza.
kama wewe uliwahi kushiriki katika debate najua kuna mada ambazo ulizipenda na zilikuwanga zinakufanya uwe na hisia kubwa za kutaka kuchangia.
naomba tukumbushane mada ambazo ulizipenda.
kwa mimi ni hii hapa the coming of white people in africa was brought more development kiukwel hii debate topic huwanga inanikumbusha shuleni kabisa hasa kwenye mashindano ya shule moja na nyingine.
nakumbuka nikiwa shule hiyo mada ilinetegenezea umarufu mkubwa shuleni na watoto wa kike wakawa wananishobokea, hasa kwenye mashidano ya shule moja na nyigine, mmmh! siongee sana!!
kama wewe uliwahi kushiriki katika debate najua kuna mada ambazo ulizipenda na zilikuwanga zinakufanya uwe na hisia kubwa za kutaka kuchangia.
naomba tukumbushane mada ambazo ulizipenda.
kwa mimi ni hii hapa the coming of white people in africa was brought more development kiukwel hii debate topic huwanga inanikumbusha shuleni kabisa hasa kwenye mashindano ya shule moja na nyingine.
nakumbuka nikiwa shule hiyo mada ilinetegenezea umarufu mkubwa shuleni na watoto wa kike wakawa wananishobokea, hasa kwenye mashidano ya shule moja na nyigine, mmmh! siongee sana!!