Wakati upo shule uliwahi kufanya tukio gani?

Wakati upo shule uliwahi kufanya tukio gani?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Binafsi niliwai kufanya tukio la "Kugonga kengele ya kuwaita wanafunzi tena assemble wakati mwalimu wa zamu alishawatawanyisha wanafunzi"

Niligonga halafu nikakimbia nyumbani watu wakakusanyika tena assemble aisee kesho yake nilichezea sitiki sitalisahau lile tukio nikiwa darasa la 5!

Uliwai fanya tukio gani shule ambalo hautolisahau?
 
Ngoja nisome wadau maana kila level ya elimu nilizingua sana. Chuo tu ndio kidogo nilikuwa mtiifu
 
Back
Top Bottom