Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Baada ya Magufuli kuingia madarakani vijana wengi kwa sasa wanalalamika mtaani kugumu, msanii Diamond aja na ubunifu mpya wa kutengeneza pesa.
Mpaka sasa ni hakuna show yeyote aliyofanya Diamond ndani ya nchi ameendelea kutengeneza pesa kwa kuwatumia wasanii wake kupiga show za ndani huku yeye akiendelea na show za nje.
Mpaka sasa ni hakuna show yeyote aliyofanya Diamond ndani ya nchi ameendelea kutengeneza pesa kwa kuwatumia wasanii wake kupiga show za ndani huku yeye akiendelea na show za nje.