Wakati viongozi wa Kenya walikua mstari wa mbele kuwatetea watu wa Ukraine kule UN, Turkana wanaendelea kufa kwa njaa

Uvamizi wa dikteta Putin kule Ukraine umesababisha vitu vingi ikiwemo chakula kuwa ghali
 
Wakenya tafadhali pitieni na huku mtoe maelezo yenye kueleweka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kenya na njaa ni kama ardhi na mizizi.
Njaa ipo Kenya tangu karne na karne wala msipakazie vita ya Ukraine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…