Wakati wa tendo

Wakati wa tendo

ABDUL JIRANI

Senior Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
176
Reaction score
52
Wakati wa tendo la ndoa nikiwahi mshindo wa kwanza(kumwaga), la pili sipati mpaka nikojoe mkojo na mengine yanayofuata
Naomba ufafanuzi hali hii inasbabishwa na nini na nini tiba yake
 
Back
Top Bottom