Wakati wa Utawala wa Mobutu huyu mzee alikuwa mtu wake wa karibu sana

Naona ujumbe umeupata vizuri sana nakuomba uwajulishe na wenzako wanao jiona kuwa wapo karibu na meza ya bwana. Wengine sasa hivi wapo gezaulole
 
hapa Tanzania hii itatokea kuanzia 2021.
ikichelewa sana basi itakuwa 2026!
Imeshaanza mdogo mdogo maana kuna watu walikuwa wanawalazimisha watoka bara waje wakiwa wasafi ili wasichafue jiji lao lkn leo hii tupo nao huku mla mleni
 
Tanzania yanataka kutokea wenye akili wameshaona ndio maana kuna watu wanahangaika katiba ibadilishwe wasijuwe dhambi hiyo itawatafuna. Tuna kumkumbuka Kikwete
 
Tanzania yanataka kutokea wenye akili wameshaona ndio maana kuna watu wanahangaika katiba ibadilishwe wasijuwe dhambi hiyo itawatafuna. Tuna kumkumbuka Kikwete
Mkuu nashukuru sana kwa kuulewa huu uzi.
 
Huwezi shindana na KARMA hata uwe na akili kiasi gani jombaaa...
 
Malipo ni hapa hapa duniani. Gambo, Mnyeti na Bashite inawahusu hii. Karma is a bitch.
 
Wanyonge tutatesa haela dunian mabek kibao""
 
Afadhali huyo alisha kula Bata! alifanya ndiyo!!! alikula sasa? mleta Mada baba yako hata mkuu wa mkoa hajawahi mualika kwake, kula naye bata japo hata siku moja tu!!

Hata wewe leo tukikupa DRC yote hawatakupenda wote!! wapo watakao kusema ulikula bata! na uliringa sana. hata sasa hivi ukienda kijijini kwenu kuishi wataona umefulia tu, umefilisika ulijidai kula vya mjini sasa unadhalilika na jembe kijijini! hata uwe na Matrekta wataona umefilia tu.

Wenye chuki pia watamuona Mulele ivoivo! Mleta Mada unadhani wao wange fanyaje kwa wapinzani wao? ilikuwa ni piga nikupige! ulitaka wapigwe wao? wauawe? Madaraka yamejileta yenyewe , ukilemba lemba yanakuondoa!

Hukusoma MIllitary History shuleni kwenu? Bible hitory habari hii ya wanasiasa kuuana ni ya kitambo sana, tangu zama za kina Pharaoh!, Abosalom alitaka kumuuua Mfalme Daudi, alimpa wakati mgumu sana. ikabidi akae Mafichoni.

kwa nini humshangai Adamu kutoka Bustanini, kula kulala bure, hadi kuwa mkulima, watoto wake wakapigika mpakakuuana. Mulele yeye nani? wamcheke tu atakufa siku moja na wao watakufa.

Nilizushiwa na watu, eti niltajirika natanua na VX Mjini kumbe wananitamkia maneno mazuri, kweli nikapata Hammer mpyaaa! huyu nae mnamsema tu huend hakuyafanya hayo! vyombo vya habari vilimkuza Carlos na kweli akawa!

mtu amejaa wasiwasi wakupinduliwa, kuuawa, hata huyo mulele hakumuamini! sasa ale bata wapi? ukimtisha tu anajinyea. acheni hizo za kimaskini
 
Kweli kabisa, Chama gani kilikuwa kinaongoza huko nyuma vile?
 
Tunamsingizia Mungu kwa uzembe wetu tu.
Mzee alitumia vibaya hakuwekeza na Sasa anaishi kadri alivyojiandaa akiwa na kitu.

Huyu ni mzembe tu vinginevyo angekuwa na asset za kumuingizia pesa ya kula, kunywa na kuishi maisha ya kutokuwa ombaomba hadi kifo.
 
Umetoa Habari yenye funzo mzuri lakini umeharibu mwishoni Ulikomalizia.
Ungemalizia na Magufuli anatosha ingekuwa vizuri sana
Anakutosha wewe tu mkuu wala usiwe na hofu
 
Naona kuna mtu anamtabiri kumkuta haya ambaye atakua ni kutoka kuwa mmiliki wa club kubwa kati kati ya jiji hadi mmiliki wa kilabu cha pombe za kienyeji kijijini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…