Wakati Waafrika wachache wasiojielewa wakimchukia Rais Museveni wenye Akili Wazungu wazidi kummiminia Sifa

Wakati Waafrika wachache wasiojielewa wakimchukia Rais Museveni wenye Akili Wazungu wazidi kummiminia Sifa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila siku huwa nasema hapa na nitazidi kusema kuwa kama nchi za Afrika ambazo zimebarikiwa kupata Marais wazuri na ' waliobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu na kama Wananchi wa hizo nchi wakiwatumia vizuri na kuwasikiliza basi ' Maendeleo ' yao yatakuwa ni ya haraka basi ni nchi za Uganda ( Rais Museveni ), Rwanda ( Rais Kagame ) na Tanzania ( Rais Dkt. Magufuli )

Wakati Waafrika wachache ' wasiojielewa ' wakiongozwa na Msanii Boby Wine na ' Wanaharakati ' wengine sehemu mbalimbali Duniani wakimsema vibaya na ' Kumnanga ' Rais wa Uganda Yoweri Museveni jana Ujumbe ' Maalum ' kutoka Umoja wa Ulaya ( EU ) umempongeza sana Rais Museveni kwa kuwa Rais pekee ambaye anadumisha Amani katika Ukanda huu, mchochezi mzuri wa Maendeleo na Biashara lakini pia ni ' Mkarimu ' mno dhidi ya Wakimbizi.

Ukiona hadi Mzungu anakukubali jua hata Mwenyezi Mungu nae ameshakukubali. Na ukiona GENTAMYCINE anakukubali jua ya kwamba hata ' Great Thinkers ' wote duniani nao wamekukubali. Ndiyo maana nasema kuwa katika Dunia hii bado sijaona Viongozi ninaowakubali kwa 100% kama hawa wafuatao...

1. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu
2. Rais wa Urusi Vladmir Putin
3. Rais wa Uganda Yoweri Museveni
4. Rais wa Rwanda Paul Kagame
5. Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli


Ukimchukia Rais Museveni lazima utakuwa tu na matatizo ya akili kwani huyu ndiye Rais ambaye ameikomboa Uganda toka kwa ' Wahuni ' mwaka 1986 na ameibadilisha nchi ya Uganda hadi hivi sasa imekuwa kweli ni ' Pearl of Africa ' na sasa ina maendeleo makubwa mno ambayo mengine ni ya Kuigwa na nchi zingine.

Nawasilisha.

Source: SpyReports UG
 
I Yoeri Kaguta Museveni, the the presidentii..
Kama museveni anadumisha amani basi hizi pongezi ziende pia kwa ile timu yake ya watu watatu akiwemo Kagame
 
Ufahamu wako umefungwa na minyororo ya ukoloni kwakuwahisisha wazungu na Mungu, eti ukiona wazungu............. na Mungu .......... Mtazamo wako hauwezi kuwa wa ma GT wote.

Hivi na Wewe kumbe ni ' Great Thinker ' Mkuu? Hakuna Rais bora kama Museveni.
 
Kila siku huwa nasema hapa na nitazidi kusema kuwa kama nchi za Afrika ambazo zimebarikiwa kupata Marais wazuri na ' waliobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu na kama Wananchi wa hizo nchi wakiwatumia vizuri na kuwasikiliza basi ' Maendeleo ' yao yatakuwa ni ya haraka basi ni nchi za Uganda ( Rais Museveni ), Rwanda ( Rais Kagame ) na Tanzania ( Rais Dkt. Magufuli )

Wakati Waafrika wachache ' wasiojielewa ' wakiongozwa na Msanii Boby Wine na ' Wanaharakati ' wengine sehemu mbalimbali Duniani wakimsema vibaya na ' Kumnanga ' Rais wa Uganda Yoweri Museveni jana Ujumbe ' Maalum ' kutoka Umoja wa Ulaya ( EU ) umempongeza sana Rais Museveni kwa kuwa Rais pekee ambaye anadumisha Amani katika Ukanda huu, mchochezi mzuri wa Maendeleo na Biashara lakini pia ni ' Mkarimu ' mno dhidi ya Wakimbizi.

Ukiona hadi Mzungu anakukubali jua hata Mwenyezi Mungu nae ameshakukubali. Na ukiona GENTAMYCINE anakukubali jua ya kwamba hata ' Great Thinkers ' wote duniani nao wamekukubali. Ndiyo maana nasema kuwa katika Dunia hii bado sijaona Viongozi ninaowakubali kwa 100% kama hawa wafuatao...

1. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu
2. Rais wa Urusi Vladmir Putin
3. Rais wa Uganda Yoweri Museveni
4. Rais wa Rwanda Paul Kagame
5. Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli


Ukimchukia Rais Museveni lazima utakuwa tu na matatizo ya akili kwani huyu ndiye Rais ambaye ameikomboa Uganda toka kwa ' Wahuni ' mwaka 1986 na ameibadilisha nchi ya Uganda hadi hivi sasa imekuwa kweli ni ' Pearl of Africa ' na sasa ina maendeleo makubwa mno ambayo mengine ni ya Kuigwa na nchi zingine.

Nawasilisha.

Source: SpyReports UG
Gerezani kuna wafungwa wanaoitwa Wanyapara.
Hawa wanyapara ni wale wafungwa wakorofi na wenye uwezo wa kufanya kazi za kuwatesa na kuwaadhibu wafungwa wenzao.

Wanyapara wanakula vizuri, wanalala kwenye godoro peke yao n.k.
Kuna wakati waachiwa hata wafungwa wawasimamie wenyewe kibababe.

Sifa ya Mnyapara gerezani sio kuwa na akili, hekima,maarifa, ubunifu,busara bali ni kuwa mbabe na kuweza kujipendekeza kwa askari wa gereza.
 
Well said walahi
Hii mipinzani yote ni mihuni, mipiga deal, michumia tumbo kwa ajili ya familia zao tu walahi
 
mara nyingi sifa za mzungu hazitokagi bure
 
Back
Top Bottom