Wakati Wanaojitambua Ghana wanarudisha Raia wao kutoka Ukraine na Urusi, wale Wasiojitambua wako busy Kushangilia Bendera yao Dubai

Wakati Wanaojitambua Ghana wanarudisha Raia wao kutoka Ukraine na Urusi, wale Wasiojitambua wako busy Kushangilia Bendera yao Dubai

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Sishangai sana kwani hata katika Ustaarabu Kihistoria barani Afrika ulianzia hasa nchini Ghana.

Sishangai mno kwani hata Siasa bora na Demokrasia iliyokomaa Barani Afrika ilianzia nchini Ghana wengine wakaiga.

Vile vile sishangai zaidi kwani hata Wasoni wengi na Watu Wetevu (Intelligent) Barani Afrika wako nchini Ghana.

Hatimaye leo hi Taifa la Ghana limethibjtisha kuwa halina Upuuzi, Siasa, maneno mengi na Ushamba kwa kuwa Taifa la Kwanza Barani Afrika lililothubutu na kufanikiwa Kuwarudisha Raia wake kutoka nchi Mbili zenye Mzozo wa Kivita za Ukraine na Urusi (Russia)

Mataifa mengine wakati Raia wao wakiwa Wanateseka, Wanabaguliwa na Kuhangaika sana Viongozi wao Waandamizi na Raia wao tokea Juzi, Jana na Leo wako busy Kushangilia na Kujisifu kwa Bendera yao Kupandishwa Dubai (Jengo refu Duniani) na muda wote Wanahimizana tu Kujimwambafai Mitandaoni na Redioni bila kusahau hata Runingani.

Natamani sana atokee tena Kiongozi mwingine (nchi Kubwa na Matajiri) huko Ulaya, Marekani, Mashariki ya Kati na hata Asia kama ambavyo aliwahi kufanya aliyekuwa Rais wa Marekani Mtukutu Mwerevu na Tajiri Donald Trump atunange Waafrika (tena wa nchi fulani moja hivi na Bibi Bomba wao) kuwa hatujitambui, hatujui Kufikiri, Washamba na tunachojua ni Kungonoka, Kuzaana, Uchawi, Majungu, Wivu na kulewa Pombe na Gongo.

Yaani Bendera imewekwa (tena kwa Kunakshiwa Kiteknolojia) na Waarabu waliotuzidi Akili kwa Shinkizo la Bibi Bomba na Pesa ya Ganji aliyowapa ili tumsifu Kiutendaji huku walioweka hiyo Bendera wskihakikishiwa kwenda Kuinyonya nchi kwa Mgongo aa Uwekezaji na percent fulani wanampa Bibi Bomba akawekeze Babarini Kwao Watu wanashangilia.

Taifa likikosa Critical Thinkers ni Hatari.
 
Yaani Bendera imewekwa ( tena kwa Kunakshiwa Kiteknolojia ) na Waarabu waliotuzidi Akili kwa Shinkizo la Bibi Bomba na Pesa ya Ganji aliyowapa ili tumsifu Kiutendaji huku walioweka hiyo Bendera wskihakikishiwa kwenda Kuinyonya nchi kwa Mgongo aa Uwekezaji na percent fulani wanampa Bibi Bomba akawekeze Babarini Kwao Watu wanashangilia.

Taifa likikosa Critical Thinkers ni Hatari.
Kama mleta mada ndiyo GT, na umetumia kiwango chako cha juu kabisa cha ugiligili wako mweupe kichwani kuandika hiki unachodhani ni fumbo, basi taifa lina ukame mkubwa wa watu wenye akili.

Ulichokiandika hapa kimejaa majungu, inda, chuki na uzandiki mtupu. Thibitisha!
 
Sisi ndiyo tuliwapeleka huko.

Kila mtu apambane na mambo yake.

Kwani bei gani wao kufia huko..au wapambane kivita kwa kujiunga na jeshi la urusi.

Kufia ulaya ni bora kuliko kufia afrika tena Tanzania ya watu wajinga wajinga.

Acha wafie kwenye neema ya vita
 
Na wizara ya mambo ya nje ya Ghana na ushirikiano wa kikanda au Ministry of Foreign Affairs and Regional Integration wakishirikiana na Wizara ya Elimu ya nchi hiyo wamezungumza na serikali ya Bulgaria kupitia Balozi wa Bulgaria nchini Ghana.

Hivyo wizara ya Elimu ya Bulgaria inaandaa utaratibu wa kuwachukua wanafunzi wote wa Ghana walioko Ukraine na kuwahamishia katika vyuo vikuu mbalimbali nchini Bulgaria.

Ghana imekuwa ikihangaika tangu dalili za vita zilipoanza, kuhakikisha wanafunzi wote raia wa nchi hiyo wanasaidiwa kwa kuzungumza na serikali zote zinoizunguka Ukraine ikiwemo Poland, Lithuania, Estonia, Latvia na Moldova.

Wanafunzi wa Ghana wapatao 460 walokuwa Ukraine wamewasili katika nchi za Poland, Hungary, Slovakia na jamhuri ya Czech.

Raia wengine wa Ghana wanasaidiwa na serikali ya nchi hiyo kupita mabalozi na umoja wa wanafunzi wa kighana kuhakikisha wanapata tiketi za ndege kurudi Ghana.

Ghana kweli ni nchi pekee ya kiafrika ambayo mpaka sasa imefanya juhudi zote za kuokoa raia wake (Evacuation) kutoka katika eneo la vita.

Marafiki zake wengi mwandishi (Richard) tayari wameondolewa Ukraine na wapo njiani kuelekea sehemu nilozitaja.

Waghana wengi wapo nje ya Ghana lakini wengi tayari wana makazi ya kudumu nchini Ghana na wengi wakiwa na majumba ya maana na biashara zao huku wakipiga kazi na wengine kusoma katika nchi mbalimbali za Ughaibuni khasa za Ulaya mashariki na magharibi.
 
Nchi iliyo na Rais ( Kiongozi ) makini na Mwerevu hata Watendaji pamoja na Wananchi wake nao huwa ni Werevu tofauti na nchi ziingine zilizowekeza katika Ushamba, Siasa, Unafiki, Uwongo, Uzushi, Ushirikina, Ufisadi na Kusingizia kama siyo hata Kubambikia Watu ( Wananchi ) wake Wema ( Wasio na Hatia ) Kesi.

Pongezi nyingi kwa Rais wa Ghana, Raia wa Ghana na Watendaji wa Serikali ya Ghana kwa kutoonyesha wengine kwa Vitendo kabisa jinsi ya kutumia Akili na Kufikiri vyema kwa Maslahi ya Taifa zima la Ghana.
Nimeongea mara nyingi humu kwamba watanzania walo wengi hawajitambui na ndo maana serikali (ilojaa BORA WATU) iliyopo huwa yatumia sababu hiyo kuwarubuni na kuwafanyia mambo mengi ya kihuni.

Kwasababu kama mtu hajitambui au hana uwezo wa kujitambua, mwisho wa siku hugeuka kujidharau mwenyewe na akifikia ngazi ya juu kabisa huweza kufifia kifikra.
 
Yaani Watu Bendera yao Kuanikwa ( Kutundikwa ) tu 'mnarani' Dubai imekuwa ni 'an issue', ila Wananchi wake wanaoteseka na kuhangaika Kujiokoa huko Ukraine na Russia ( Urusi ) wala siyo la Muhimu Kwao.
Kihistoria haijawahi kutokea ( kama sikosei) kwa serikali ya Tanzania kutoa tamko kuhusu raia wake waliopo nje ambao wanakumbwa na dhahama kama ya vita.

Ni mpaka pale wanapokumbushwa ndipo hukurupuka na kuita media kuzungumza machache.

Lakini ili kuwepo kitu chaitwa "Contingency Plans" kukabili mambo kama hayo, inabidi uwe na watu wanojitambua na nafasi zao pia.
 
Sishangai sana kwani hata katika Ustaarabu Kihistoria barani Afrika ulianzia hasa nchini Ghana.

Sishangai mno kwani hata Siasa bora na Demokrasia iliyokomaa Barani Afrika ilianzia nchini Ghana wengine wakaiga.

Vile vile sishangai zaidi kwani hata Wasoni wengi na Watu Wetevu ( Intelligent ) Barani Afrika wako nchini Ghana.

Hatimaye leo hi Taifa la Ghana limethibjtisha kuwa halina Upuuzi, Siasa, maneno mengi na Ushamba kwa kuwa Taifa la Kwanza Barani Afrika lililothubutu na kufanikiwa Kuwarudisha Raia wake kutoka nchi Mbili zenye Mzozo wa Kivita za Ukraine na Urusi ( Russia )

Mataifa mengine wakati Raia wao wakiwa Wanateseka, Wanabaguliwa na Kuhangaika sana Viongozi wao Waandamizi na Raia wao tokea Juzi, Jana na Leo wako busy Kushangilia na Kujisifu kwa Bendera yao Kupandishwa Dubai ( Jengo refu Duniani ) na muda wote Wanahimizana tu Kujimwambafai Mitandaoni na Redioni bila kusahau hata Runingani.

Natamani sana atokee tena Kiongozi mwingine ( nchi Kubwa na Matajiri ) huko Ulaya, Marekani, Mashariki ya Kati na hata Asia kama ambavyo aliwahi kufanya aliyekuwa Rais wa Marekani Mtukutu Mwerevu na Tajiri Donald Trump atunange Waafrika ( tena wa nchi fulani moja hivi na Bibi Bomba wao ) kuwa hatujitambui, hatujui Kufikiri, Washamba na tunachojua ni Kungonoka, Kuzaana, Uchawi, Majungu, Wivu na kulewa Pombe na Gongo.

Yaani Bendera imewekwa ( tena kwa Kunakshiwa Kiteknolojia ) na Waarabu waliotuzidi Akili kwa Shinkizo la Bibi Bomba na Pesa ya Ganji aliyowapa ili tumsifu Kiutendaji huku walioweka hiyo Bendera wskihakikishiwa kwenda Kuinyonya nchi kwa Mgongo aa Uwekezaji na percent fulani wanampa Bibi Bomba akawekeze Babarini Kwao Watu wanashangilia.

Taifa likikosa Critical Thinkers ni Hatari.

Isome tena vizuri African history. Nchi ya Ghana umeipa hadhi isiyostahili.
 
Tumenunua ndege kwa gharama kubwa..tunahofia isije ikatunguliwa.maana kwenda ukraine na kurudi ni kama kamari..watz walioko huko sio masikini wenzako! mpaka mtu anaamua kuchukua option ya kusomea nje ni jeuri ya hela.
 
Tumenunua ndege kwa gharama kubwa..tunahofia isije ikatunguliwa.maana kwenda ukraine na kurudi ni kama kamari..watz walioko huko sio masikini wenzako! mpaka mtu anaamua kuchukua option ya kusomea nje ni jeuri ya hela.
Awamu ya upigaji hii pigeni pesa
 
Umeongea jambo kubwa sana, ila nataka kukupa challenge uende deep zaidi uone jinsi watu weupe wanavyotuchukulia in a holistic way,

Kuna hii study ni very controversial ila katika vitu ambavyo Lynn amesema na kilinifanya nijiulize sana hadi leo ni kwamba Sub Saharan Africa ipo nyuma kimaendeleo sababu ya kuwa na a significant level of low IQ people,


Unaweza soma hapo, pia unaweza tafuta hizi study uzipitie, mambo yetu mengi yana reflect hii kitu, and not saying or agreeing kila mwafrika Yuko hivi, ila our political system I guess Ina accommodate watu wengi wa aina hiyo ndio maana decisions nyingi zinashangaza sana. So nakubaliana na wewe suala la Ghana on their IQ level, hauwezi fikiri like a high IQ person wakati wewe una low level of IQ.

Kama ukiweza ifanyie analysis, sababu wengine mna vipawa vya kuandika, just make a reflective analysis kwenye maamuzi ya resources zetu jinsi tunavyotumia "akili zetu" either kuziendeleza au kuingia mikataba ya kizwazwa, angalia miaka 60 ya uhuru comparatively na nchi zingine Asia zilizopata uhuru kama sisi ,60s, utaandika kitu kinachoweza kutupa discussion nzuri sana, wanatuita tuko "retarded" ndio maana tuko hapa kimaendeleo na kimaamuzi, kwa ufupi ukisoma vitabu vya pyschology wanasema uwezo wako wa fikra unadhibitiwa na IQ yako, labda kuna ukweli kwenye hiyo study?
 
Kawaulize BBC Swahili Edition ( hasa ya leo Dira ya Dunia ) ndiyo wamesema hivyo kuhusu Ghana kuwa nchi ya Kwanza kutoka Barani Afrika kufanya hivyo na siyo Mimi sawa?
Nilitaka kushangaa,kumbe Ni BBC SWAHILI ....za kupewa changanya na zako zwazwa wewe,
 
Kihistoria haijawahi kutokea ( kama sikosei) kwa serikali ya Tanzania kutoa tamko kuhusu raia wake waliopo nje ambao wanakumbwa na dhahama kama ya vita.

Ni mpaka pale wanapokumbushwa ndipo hukurupuka na kuita media kuzungumza machache.

Lakini ili kuwepo kitu chaitwa "Contingency Plans" kukabili mambo kama hayo, inabidi uwe na watu wanojitambua na nafasi zao pia.
 
Na wizara ya mambo ya nje ya Ghana na ushirikiano wa kikanda au Ministry of Foreign Affairs and Regional Integration wakishirikiana na Wizara ya Elimu ya nchi hiyo wamezungumza na serikali ya Bulgaria kupitia Balozi wa Bulgaria nchini Ghana.

Hivyo wizara ya Elimu ya Bulgaria inaandaa utaratibu wa kuwachukua wanafunzi wote wa Ghana walioko Ukraine na kuwahamishia katika vyuo vikuu mbalimbali nchini Bulgaria.

Ghana imekuwa ikihangaika tangu dalili za vita zilipoanza, kuhakikisha wanafunzi wote raia wa nchi hiyo wanasaidiwa kwa kuzungumza na serikali zote zinoizunguka Ukraine ikiwemo Poland, Lithuania, Estonia, Latvia na Moldova.

Wanafunzi wa Ghana wapatao 460 walokuwa Ukraine wamewasili katika nchi za Poland, Hungary, Slovakia na jamhuri ya Czech.

Raia wengine wa Ghana wanasaidiwa na serikali ya nchi hiyo kupita mabalozi na umoja wa wanafunzi wa kighana kuhakikisha wanapata tiketi za ndege kurudi Ghana.

Ghana kweli ni nchi pekee ya kiafrika ambayo mpaka sasa imefanya juhudi zote za kuokoa raia wake (Evacuation) kutoka katika eneo la vita.

Marafiki zake wengi mwandishi (Richard) tayari wameondolewa Ukraine na wapo njiani kuelekea sehemu nilozitaja.

Waghana wengi wapo nje ya Ghana lakini wengi tayari wana makazi ya kudumu nchini Ghana na wengi wakiwa na majumba ya maana na biashara zao huku wakipiga kazi na wengine kusoma katika nchi mbalimbali za Ughaibuni khasa za Ulaya mashariki na magharibi.
Mkuu maofisa ubalozi wa Tz huko ughaibuni wanakula bata tu hamna cha maana wanachokifanya,ukifika kwenye balozi zetu wanakuona kama mhalifu tu upo kwenye hiyo nchi kuharibu,mindset waliosetiwa wale jamaa ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom